Bacary Superior
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 3,721
- 1,515
Hapo kila MTU alikuwa ana lengo la kupiga chini mwenzake so hiyo ni sababu tu
Mlikuwa mnaviziana tu....."anza wewe"View attachment 614676 Nimempiga chini huyu Demu kwa stahili hii na karidhia vizuri kweli.Ni kwamba nilikuwa na mademu wawili na mmojawapo ni mama k baada ya kumwambia huyu kanielewa kama screen shoot ibavyoonyesha.
Njoo kwa inbox tu maana yupo desperate
Kwa hiyo hata wewe ulikuwa chizi. Kama uliishi na mtu mwenye kiwango cha kuzolewa na chizi.Njoo kwa inbox maana yupo desperate kinoma hata chizi anazoa tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseee nimecheka kweli.Ww ulidhani atakwambiaje?!
Msg yenyewe umeandika unatetemeka unaweka nukta kibao
From my experience inaonyesha huyo mwanamke alikua hakupendi na kuna uwezekano mkubwa na yeye alikua na wenzako kama wanne hivi...kwa kifupi hapo umempunguzia jam!!View attachment 614676 Nimempiga chini huyu Demu kwa stahili hii na karidhia vizuri kweli.Ni kwamba nilikuwa na mademu wawili na mmojawapo ni mama k baada ya kumwambia huyu kanielewa kama screen shoot ibavyoonyesha.
Kwahiyo na wewe ni chizi kwakuwa ulikuwa naye.Njoo kwa inbox maana yupo desperate kinoma hata chizi anazoa tu
Alikuwa na mchepuko, subiri umuachie uome vumbi lakeView attachment 614676 Nimempiga chini huyu Demu kwa stahili hii na karidhia vizuri kweli.Ni kwamba nilikuwa na mademu wawili na mmojawapo ni mama k baada ya kumwambia huyu kanielewa kama screen shoot ibavyoonyesha.
Hizo kampeni za kumtoa José nafasi yake kwanini usisubili japo kidogo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nimebahatisha José kanikaba balaa