Nawasalimu wana JF wote.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naomba kuwaasa wanafunzi hasa wa vyuoni wanapokuwa vyumbani kwao wawe makini. Wanachuo walio wengi aidha wawe hosteli za chuoni au za kupanga nje ya chuo huwa wanakaa zaidi ya mtu mmoja.
Umakini ninaouongelea hapa ni kwamba, usipende kukaa naked mbele ya wenzake hata kama ni wanawake wenzio, wala kukaa nusu uchi. Pia usipende kulala bila nguo halafu ukaacha kujifunika shuka au blanketi.
Athari ni kwamba, wenzio wanaweza kuwa sio watu wema, wanaweza kukupiga picha kwa siri sana wewe ukiwa hujui na kuanza kuzirusha kwenye mitandao ya kijamii, utadhalilika.
Nimemaliza.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naomba kuwaasa wanafunzi hasa wa vyuoni wanapokuwa vyumbani kwao wawe makini. Wanachuo walio wengi aidha wawe hosteli za chuoni au za kupanga nje ya chuo huwa wanakaa zaidi ya mtu mmoja.
Umakini ninaouongelea hapa ni kwamba, usipende kukaa naked mbele ya wenzake hata kama ni wanawake wenzio, wala kukaa nusu uchi. Pia usipende kulala bila nguo halafu ukaacha kujifunika shuka au blanketi.
Athari ni kwamba, wenzio wanaweza kuwa sio watu wema, wanaweza kukupiga picha kwa siri sana wewe ukiwa hujui na kuanza kuzirusha kwenye mitandao ya kijamii, utadhalilika.
Nimemaliza.