IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,463
- 7,384
kwani yamekuwa mashindano?
Nina jamaa yangu wa karibu mkewe ana PHD hapahapa A-Town......................naye yeye alikuwa kidato cha nne ..........na sifuri tu.........siku hizi anahangzika kupata BBA anasema safari imeanza.........kaacha shughuli zake za maana anahangaika na mambo ambayo wala Muumba hakumwandikia..............................matokeo yake anafeli kazi kununua mitihani ili apate cheti cha kututambia mtaani..........
ahahahaaaaaaaaaaaaaa!...unajua watu tunahangaika ucku na mchana muda mwingine kwa vitu ambavyo kamwe hatuviwezi na hatukupangiwa na Mungu(kwa wale waamini)...umenikumbusha kisa kimoja kwenye familia yangu_mdogo wangu alikua anahaingaika kusoma kwa kuungaunga lakn alikua anafeli,alipofeli form 6 nikamwambia aachane na shule afanye kitu kingine_akaanza biashara..maisha yake ni supa kuliko hata wengine tuliokesha kukariri shuleni.....
Nb:mwambie asome 'Poor Dad,Rich Dad'...atabadili mawazo yake ya kufanya vitu kwa sifa zisizo na mshiko