Msichana jasiri katika siasa mwaka 2013

Msichana jasiri katika siasa mwaka 2013

watu tukubaliane na ukweli unajua uhai wa kisiasa wa mwanachama haswa Tanzania upo mikononi mwa hawa mabosi wa vyama je ni mwanachama gani wa kike amethubutu kuwakosoa mabosi zao hadharani?wengine si ndio hawa tunawaona wanazaa na mabosi wao kisa unyanyasaji wa kijinsia uliopo ndani ya vyama vya siasa?Juliana ni shujaa

Kwahiyo uhai wako upo kwa kikwete?
 
Umemsaliti mtu aliyekulea Lwakatare kwa vipande vi5 vya msimabzi kutoka kwa chemba la maji taka?

another coward beach. King kong ndo nini. Njoo kwa jina lako halisi. Ujinga kama huu wa kwako ndo unaokutia aibu.nimekutana na huyo mtu mwaka 2010 nikiwa nimeshasoma falsafa na nikiwa namalizia shahada yangu ya ualimu. Sikuwahi kuishi naye wala kwake. Hakuwahi kunipa msaada wowote exceptional. Tumekuwa pamoja tu kwenye chama. Sasa huu uharo kuwa amenilea unautoa wapi wewe mwoga? Juu ya hayo ya usaliti haujui unayoyasema.bora ukae kimya tu. Haumfurahishi yeyote kwa kupiga kelele juu ya usiyoyajuwa.ficha ujinga wako.
 
Ni yule binti aliyebakwa na Kapuya kisha kutoa taarifa polisi, ofisi ya bunge na pale Lumumba kwa MaCCM.
 
MWAKA MPYA NA MAMBO MAPYA NINGEPENDA KUTUMIA SIKU HII KUWAKUMBUKA MASHUJAA WA DEMOKRASIA WALIOJARIBU NA KUTHUBUTU KUMBUKUMBU NA PONGEZI YA KWANZA KABISA NAMPA MSICHANA HUYU MDOGO ALIYE JASIRI ALITHUBUTU KUWAKOSOA VIONGOZI WAKE WA JUU AKIANZA NA MWENYEKITI WAKE WA BAVICHA HECHE ALIPOGEUKA KUWA MSEMAJI WA MWENYEKITI NA KUSAHAU MAJUKUMU YAKE HAITOSHI ALIENDELEA KUMKOSOA HADHARANI MWENYEKITI WA CHAMA MBOWE JUU YA KUTUMIA MADARAKA YAKE VIBAYA KWA UJASIRI WAKE BINTI HUYU ALIPINGA UNYANYASAJI WA KIJINSIA ALIPOMKOSOA KATIBU WA CHAMA SLAA BAADA YA KUMTAKA KIMAPENZI KUWA ASIENDELEE KUMTISHA NA HUJUMA ANAZoZIFANYA HAZITAMSADIA KUMPATA NA ALIMKEMEA JUU YA SUALA LA KUJIKOPESHA RUZUKU KINYUME CHA UTARATIBU,UJASIRI HUU ALIONAO ILIBIDI WAKUU WAKE HAO WAMUWEKE PEMBENI KUOGOPA MAWAZO YAKE NA FIKRA ZAKE PEVU SIO MWINGINE NI JULIANA SHONZA NA HUYU NAAMINI NDIO MWANASIASA BORA WA KIKE TANZANIA
Hv aliyeweka hapa hii thread nani mwanamke au mwanamme? Jamani huyu kaanza mwaka vibaya!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Napita tu tumekusikia kachukue buku zako saba Lumumba lkn hapa hapkufai ndugu yangu.
 
Mbona hujawataja MAJEMBE Mtela, Brigadier Nyakarungu,Ludo na yule aliyetuibia simu yetu..!? ina maana wao mchango wao hamuutambui!?
kumbe na wewe ni mweupe tu. hao uliowataja ni wanasiasa wakike? akili za kibavicha bana shida sana.
 
Wewe unaumwa kuhara nini yaani Shoza ni shujaa umeishiwa mawazo. Huwa hatuwafikirii wasaliti wanaochelewesha ukombozi
 
Umenena kweli mkuu,achana na hao wanaotumia mihemko kujibu hoja ya msingi kama hii,nimemjua shonza tangu anasoma UDSM japo nilimtangulia darasa moja ni Binti shujaa na jasiri,na Ana kariba ya uongozi ndani yake,leo hii chadema wanajivunia chaso wanasahau kuwa shonza ndiye muasisi wake wa kwanza,hata Hilo jina ni Yeye alilitoa baada yakuasisi na ndiye alikua mwenyekiti wake wa kwanza pale UDSM,na ndie aliyeisambaza vyuo vingine vya nchi hii.
Ni mwanasiasa namba moja,mbili ,na namba tatu kwa wasichana wa kitanzania,zaidi ya hapo hamna msichana mwingine ukiwatoa kina bulaya na mdee ambao tayari hawapo kwenye umri wa usichana .
Napendekeza mtoa mada huyu Binti aandaliwe tuzo,hata ccm alikoenda naona anafanya vizuri Ana uwezo mkubwa sana wakulimudu jukwaa nilishabahatika kumsikia mwenge.
 
Yaani katika wasicha woote umemuona shoza tu!ujasiri wake ni upi? Kuwakosea adabu viongozi wake,kuwatukana viongozi wa vyama pinzani alikolelewa majukwaani,au kuikosesha ccm ushindi sehemu zote alipo shirikishwa kwenye kampeni?think big ndugu.
Kumbe tafsiri yakuwaambia ukweli nikuwakosea adabu,siasa za bongo bwana,ikiwa kampeni zile alizoshiriki Yule Binti ccm iliondoka na kata 16 cdm 6 huko kushindwa unakokuzungumzia ni Kupi?
Yule Binti ni hazina kwa Chama na Taifa maana anaziweza sana siasa za majukwaani,namshauri agombee ubunge mbozi 2015 Nina imani katiba mpya italeta mlinganyo Sawa wa kijinsia nafasi za uwakilishi wilayani ,baada ya mfumo huu uliopo wa Viti maalumu kuondolewa.
 
Huo sio ujasiri.Tafakari vizuri!!!!!

Kweli mkuu huo sio ujasiri,ujasiri ni ule alionao dj zero wa Kula kondoo wake,nakujifanya anarudisha gari ya KUB mbele ya waandishi wa habari then anapita mlango wa nyuma nakulichukua na mpaka leo analitumia,na ujasiri wakuwauza dada zetu pale billicanas huu ni ujasiri wa hali ya juu anapaswa kuigwa.
 
another coward beach. King kong ndo nini. Njoo kwa jina lako halisi. Ujinga kama huu wa kwako ndo unaokutia aibu.nimekutana na huyo mtu mwaka 2010 nikiwa nimeshasoma falsafa na nikiwa namalizia shahada yangu ya ualimu. Sikuwahi kuishi naye wala kwake. Hakuwahi kunipa msaada wowote exceptional. Tumekuwa pamoja tu kwenye chama. Sasa huu uharo kuwa amenilea unautoa wapi wewe mwoga? Juu ya hayo ya usaliti haujui unayoyasema.bora ukae kimya tu. Haumfurahishi yeyote kwa kupiga kelele juu ya usiyoyajuwa.ficha ujinga wako.

Sawa mkuu tar 4/1/14 kuna jambo litatokea pitia ule uzi una ujumbe mzuri cc: Yericko Nyerere
 
Last edited by a moderator:
Bata tu huyu shost, kwa Chadema alimaliza umuhimu wake hivyo tunamtakia mema huko aliko,
Yeye ni Eva hivyo ajitahidi kulegeza macho tunaweza kujasikia ni mkuu wa kawilaya fulani kapya, si mnamjua kaka yenu pale mjengoni Feri ni m'bovu wa alipotoka!
teh teh!
 
Kwani hatuwajui vibaraka wa CCM? Magamba yao yamewashinda, sasa sijui wanatueleza pumba gani hizi! Shame on you MAGAMBA!
 
MWAKA MPYA NA MAMBO MAPYA NINGEPENDA KUTUMIA SIKU HII KUWAKUMBUKA MASHUJAA WA DEMOKRASIA WALIOJARIBU NA KUTHUBUTU KUMBUKUMBU NA PONGEZI YA KWANZA KABISA NAMPA MSICHANA HUYU MDOGO ALIYE JASIRI ALITHUBUTU KUWAKOSOA VIONGOZI WAKE WA JUU AKIANZA NA MWENYEKITI WAKE WA BAVICHA HECHE ALIPOGEUKA KUWA MSEMAJI WA MWENYEKITI NA KUSAHAU MAJUKUMU YAKE HAITOSHI ALIENDELEA KUMKOSOA HADHARANI MWENYEKITI WA CHAMA MBOWE JUU YA KUTUMIA MADARAKA YAKE VIBAYA KWA UJASIRI WAKE BINTI HUYU ALIPINGA UNYANYASAJI WA KIJINSIA ALIPOMKOSOA KATIBU WA CHAMA SLAA BAADA YA KUMTAKA KIMAPENZI KUWA ASIENDELEE KUMTISHA NA HUJUMA ANAZoZIFANYA HAZITAMSADIA KUMPATA NA ALIMKEMEA JUU YA SUALA LA KUJIKOPESHA RUZUKU KINYUME CHA UTARATIBU,UJASIRI HUU ALIONAO ILIBIDI WAKUU WAKE HAO WAMUWEKE PEMBENI KUOGOPA MAWAZO YAKE NA FIKRA ZAKE PEVU SIO MWINGINE NI JULIANA SHONZA NA HUYU NAAMINI NDIO MWANASIASA BORA WA KIKE TANZANIA
Mi, toka nimuone akipokelewa kwa mbwembwe na m/kiti wa chama cha mapinduzi na baadaye kuzunguka na mwigului kule mbeya na kwingineko
sijamuona tena,hivi siku hizi yuko,wapi?
Iko wapi heshima ya tambala la kudekia kama likishatumika linatupwa jalalani na kisha kuchomwa moto?
 
Back
Top Bottom