Utampunguzaje speed ukishapata nambaToa namba ake hapa tumpunguze speed
Mi shawah fanya hvo dem anipendi kanitamkia lakini ananisumbua kwa simu nikamuita ghetto nikaforce mechi kakubali kishingo upande lkn ana respond vzuri kwa bed tulipotoka hapo kanuna wee mwisho wa siku kaelewekaMlaghai aingie gheto ubakee amna cha zaidiii ndo mabit wa Tz ao cku ya kwanza unabaka siku zinazofata anakuja mwenyeweee
Sitamaliza kusoma vyote
Jamani watu mnaushari mbayaInshort the girl anapenda attention, ndo maana akiona unampotezea au uko busy na watu wengine anajaribu kudivert attention yako ili irudi kwake. Achana nae, utajipotezea muda. We endelea tu na mambo yako mengine, usimuendekeze.
Jamani watu mnaushari mbayaInshort the girl anapenda attention, ndo maana akiona unampotezea au uko busy na watu wengine anajaribu kudivert attention yako ili irudi kwake. Achana nae, utajipotezea muda. We endelea tu na mambo yako mengine, usimuendekeze.
Hahaha itakuwa ngumu kumeza kama kubeti kwa mwarabuMuhenga uko vizuri but Oman yackukute ya pimbi aka Dr love
Habari wanajamvi wote...
nimetokea kumpenda binti ambaye niko naye chuo kimoja ,nikamueleza ukweli wangu akanijibu "hanipendi" na "haitawezekana" yeye kuwa na mimi kwa sababu ana mtu wake...
Nikachunguza kwa marafiki zake wakasema kweli ana mtu wake na hanipendi kweli....nikakomaa na dem kwa nguvu zangu zote akanichomolea nikaamua kumpotezea kabisa...
Tatizo likaanzia hapo kila mara ananicheki kwenye simu mara aseme nimpelekee zawadi kwanini niko mbali naye ...
Basi nikajua mtoto kaelewa muziki ila anahofia kuucheza ..nikaanza kuomba game akawa ananipotezea kama hanielewi mwisho nikachoka kuomba game..
Nikamteli kama huwezi kunipa game tusisumbuane kwa njia yoyote ile akanijibu powa aina noma..
Kumwambia hivo ikawa ndo nimekoleza moto ndio akazidisha usumbufu..nikiongea na simu au nikichati atanyakuwa simu ili ajue ni nani nawasiliana naye ,anasema hataki anione nina mzoea na mademu wengine
Naombeni ushauri wenu juu yake
Nimeshindwa kumuelewa