Msichana hanitaki lakini ananisumbua

Msichana hanitaki lakini ananisumbua

Habari wanajamvi wote...

nimetokea kumpenda binti ambaye niko naye chuo kimoja ,nikamueleza ukweli wangu akanijibu "hanipendi" na "haitawezekana" yeye kuwa na mimi kwa sababu ana mtu wake...
Nikachunguza kwa marafiki zake wakasema kweli ana mtu wake na hanipendi kweli....nikakomaa na dem kwa nguvu zangu zote akanichomolea nikaamua kumpotezea kabisa...

Tatizo likaanzia hapo kila mara ananicheki kwenye simu mara aseme nimpelekee zawadi kwanini niko mbali naye ...
Basi nikajua mtoto kaelewa muziki ila anahofia kuucheza ..nikaanza kuomba game akawa ananipotezea kama hanielewi mwisho nikachoka kuomba game..
Nikamteli kama huwezi kunipa game tusisumbuane kwa njia yoyote ile akanijibu powa aina noma..
Kumwambia hivo ikawa ndo nimekoleza moto ndio akazidisha usumbufu..nikiongea na simu au nikichati atanyakuwa simu ili ajue ni nani nawasiliana naye ,anasema hataki anione nina mzoea na mademu wengine

Naombeni ushauri wenu juu yake
Nimeshindwa kumuelewa
mgonge huyo ndo anachotaka au unataka akuambie umgonge? mtengenezee mazingira akiingia kwenye18 uone kama atachomoa... Ila ukiendelea kumuomba gem kwa mdomo miaka itakatika
 
mgonge huyo ndo anachotaka au unataka akuambie umgonge? mtengenezee mazingira akiingia kwenye18 uone kama atachomoa... Ila ukiendelea kumuomba gem kwa mdomo miaka itakatika
 
Hpo cha msing ni kuwa na nafsi ya kujizuia, nikiwa na maana kuwa akiipa uhai simu ako ipuuzie na kama atakutumia Jumbe fupi za maneno puuzia pia. Onesha kutomjali mkikutana sehem flani na kam akikufuata kukuuliza kwanini upo hivo muongopee kwa kumwambia una mpenzi ambae amekupa kalipio kutowakalbia viumbe wa mfano wake....

Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app
 
Kweli mkuu nimekuelewa
Nikimpotezea yeye anakuwa msumbufu kwangu
Mchane live akukome.
Tatizo ni kwamba bado wewe unamtamani kwa hiyo unashindwa kumtolea uvivu. Usumbufu kama huo anaokufanyia unaweza kushusha GPA yako kama ukimwendekeza.
 
demu huyo anakuhitaji inaonekana kwenye mahusiano yake kuna tatizo hivyo anashindwa kuamua. Cha kufanya mwite sehemu ongea nae mkazie kuwa unampenda na umwelewi na umuombe akuambie ukweli ili uamue cha kufanya. Ila ukivumilia kidogo tu unakula zigo hilo
 
Habari wanajamvi wote...

nimetokea kumpenda binti ambaye niko naye chuo kimoja ,nikamueleza ukweli wangu akanijibu "hanipendi" na "haitawezekana" yeye kuwa na mimi kwa sababu ana mtu wake...
Nikachunguza kwa marafiki zake wakasema kweli ana mtu wake na hanipendi kweli....nikakomaa na dem kwa nguvu zangu zote akanichomolea nikaamua kumpotezea kabisa...

Tatizo likaanzia hapo kila mara ananicheki kwenye simu mara aseme nimpelekee zawadi kwanini niko mbali naye ...
Basi nikajua mtoto kaelewa muziki ila anahofia kuucheza ..nikaanza kuomba game akawa ananipotezea kama hanielewi mwisho nikachoka kuomba game..
Nikamteli kama huwezi kunipa game tusisumbuane kwa njia yoyote ile akanijibu powa aina noma..
Kumwambia hivo ikawa ndo nimekoleza moto ndio akazidisha usumbufu..nikiongea na simu au nikichati atanyakuwa simu ili ajue ni nani nawasiliana naye ,anasema hataki anione nina mzoea na mademu wengine

Naombeni ushauri wenu juu yake
Nimeshindwa kumuelewa
Chief, kesi yako rahisi tu. Mpeleke club mpe pombe but hakikisha unampeleka club ya mbali na unamtonyo tosha. Hakikisha mud wa kutoka club ni saa8 usku nakuendelea... Mpeleke lodge ...utamgonga huyo demu
 
Hicho ndicho kilichokupeleka chuo? Soma, acha ujinga.
 
danger-zone-welcome-to-the-friend-zone.jpg
friendzone-taxi.jpg
 
Chief, kesi yako rahisi tu. Mpeleke club mpe pombe but hakikisha unampeleka club ya mbali na unamtonyo tosha. Hakikisha mud wa kutoka club ni saa8 usku nakuendelea... Mpeleke lodge ...utamgonga huyo demu
 
Kula ale mwingine halafu pembe ushikishwe wewe.. Duh! Kakuona lofa
 
Back
Top Bottom