Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,016
- 142,838
Kama tatizo ni nyota basi bonyeza alama ya reli!
Mkuu wewe ni me au ke? Sikimbii show ila kwa hili itanilazimu,yeye hajui kama umechoka au la na hataki kusikia hilo anachotaka ni sebene.
Tafuta mtu akusaidie, iwe ni mwendo wa mtungo...
He he he he.......
Kama wataka karanga eeeh......kaukarange na ule mdude........naimba tu jamani..........
Tatizo ni lako...haumridhishi
ukimuoa utaenda hadi China kwa mguu....
mkuu wewe ni me kweli???
Huyu ndio wale wakupiga goli nane....
Goli 5 kwa siku tena tu. Duh! Haya magoli itakuwa ni ya penati. Huyu ndo wale ukiingiza tu dakika 5 nyingi
Samahn mkuu marekebisho kidogo ni kilometer 6 sio 35
Na nyie mnashindwa kusoma mazingira ya nyakati ww unaona mm ni ke unaliuliza uliza unategemea ntakujibu nn sasa
Yani wagumu mtoto sweet hivyo wanashindwa kutambuwa mwee???
Most of men nowadays mmekua wavivu kitandan ndio maana mnachapiwa wake zenu.....unakuta umelala na mwanaume et gol moja tu yupo hoi
Hizo 35 ni za soap!
Jaribu kujinasua kutoka kwenye ngono. Lust si kitu chema