Msichana anataka tufanye mapenzi mara kwa mara

Msichana anataka tufanye mapenzi mara kwa mara

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,151
Reaction score
20,076
Wakuu kwa muda wa wiki moja unusu nimesafiri toka Bukoba na kurudi hadi Kahama kwa miguu.

Huyu binti atakua na pepo la ngono,muda wote toka aje geto anataka mchezo tu wiki moja na nusu,siku kumi ni ngono tu,yani muda mwingine natamani kutorudi nyumbani jioni.

maana nikifika tu anataka mchezo,usiku kucha mchezo,asubuhi yani ni kero tupu,mchana text za kichokozi watsap akiwa na kufuli au bila kufuli.

Nimetembeaje hadi bukoba kwa miguu,wataalam wanasema sina uhakika goli moja=35 kilometers,kwa wastani huyu binti kwa siku napiga goli 5xsiku 10 ambazo nimekua nae=50 goals.

50 goal x 35 kilometers =1750 kilometers. Kwa takwimu za sumatra kutoka Dar hadi Bukoba ni kilometer 1400 hivi,zinazobaki ni kutoka Bukoba kuja Kahama.

Huyu binti namkimbia,ataniua jamani.
 
bahahahahahah anataka ukonde ubaki mifupa na uwe mwepesi ka unyoya
 
Hahahaha mkuu usikimbie shoo wengine shoo kama hizo tunazifurahia et maswala yakupapasana kutiana shombo noooooooooooooo

Mkuu wewe ni me au ke? Sikimbii show ila kwa hili itanilazimu,yeye hajui kama umechoka au la na hataki kusikia hilo anachotaka ni sebene.
 
Komaa na shoo mwanzo mwisho kuna wenzio wanatafuta hizo nafasi hawapati sasa wewe kuku anakuja mwenyewe unashindwa kuchinjaa?
 
au una kibamia mkuu? najua ungekua na Ndizi asingekuwa anakusumbua haumridhishi hyoo Mkuu
 
Last edited by a moderator:
Ningekua simridhishi asingekua anataka muda wote. Kwa taarifa yako mimi ni mtaalamu hizo idala.

Jishaue, Ungekua Unamridhisha Katu Hawez Kukutaman, We Waona Uko Vzur Ila Bado, Mkunyue Ya Maana Uone Cku 5 Hakutak, Afu We Mhaya Eeee,
 
Back
Top Bottom