kabanga
Platinum Member
- Dec 12, 2011
- 37,580
- 18,952
Goli 5 kwa siku tena tu. Duh! Haya magoli itakuwa ni ya penati. Huyu ndo wale ukiingiza tu dakika 5 nyingi
yaani inashangaza sana kwa hili....
Goli 5 kwa siku tena tu. Duh! Haya magoli itakuwa ni ya penati. Huyu ndo wale ukiingiza tu dakika 5 nyingi
Sasa wewe umeshasema ni msichana, kuwa pole damu inachemka. JITUME KIJANA. ILA KUMBUKA UKIMWI UNAUAWakuu kwa muda wa wiki moja unusu nimesafiri toka Bukoba na kurudi hadi Kahama kwa miguu.
Huyu binti atakua na pepo la ngono,muda wote toka aje geto anataka mchezo tu wiki moja na nusu,siku kumi ni ngono tu,yani muda mwingine natamani kutorudi nyumbani jioni.
maana nikifika tu anataka mchezo,usiku kucha mchezo,asubuhi yani ni kero tupu,mchana text za kichokozi watsap akiwa na kufuli au bila kufuli.
Nimetembeaje hadi bukoba kwa miguu,wataalam wanasema sina uhakika goli moja=35 kilometers,kwa wastani huyu binti kwa siku napiga goli 5xsiku 10 ambazo nimekua nae=50 goals.
50 goal x 35 kilometers =1750 kilometers. Kwa takwimu za sumatra kutoka Dar hadi Bukoba ni kilometer 1400 hivi,zinazobaki ni kutoka Bukoba kuja Kahama.
Huyu binti namkimbia,ataniua jamani.
mkuu sijui kuna madem hawatosheki..Hahahaha mkuu usikimbie shoo wengine shoo kama hizo tunazifurahia et maswala yakupapasana kutiana shombo noooooooooooooo
Sio kweliTatizo ni lako...haumridhishi
We umechukua changu uyo. Hao kwa siku wanaweza kutembea na wanaume hadi ishiriniWakuu kwa muda wa wiki moja unusu nimesafiri toka Bukoba na kurudi hadi Kahama kwa miguu.
Huyu binti atakua na pepo la ngono,muda wote toka aje geto anataka mchezo tu wiki moja na nusu,siku kumi ni ngono tu,yani muda mwingine natamani kutorudi nyumbani jioni.
maana nikifika tu anataka mchezo,usiku kucha mchezo,asubuhi yani ni kero tupu,mchana text za kichokozi watsap akiwa na kufuli au bila kufuli.
Nimetembeaje hadi bukoba kwa miguu,wataalam wanasema sina uhakika goli moja=35 kilometers,kwa wastani huyu binti kwa siku napiga goli 5xsiku 10 ambazo nimekua nae=50 goals.
50 goal x 35 kilometers =1750 kilometers. Kwa takwimu za sumatra kutoka Dar hadi Bukoba ni kilometer 1400 hivi,zinazobaki ni kutoka Bukoba kuja Kahama.
Huyu binti namkimbia,ataniua jamani.
Hahaha.....wewe mtaalam gani? Mbona unakuja kulialia huku?Ningekua simridhishi asingekua anataka muda wote. Kwa taarifa yako mimi ni mtaalamu hizo idala.
Mkuu wewe ni me au ke? Sikimbii show ila kwa hili itanilazimu,yeye hajui kama umechoka au la na hataki kusikia hilo anachotaka ni sebene.
Eti palachihi ni nini?Ni show tu au na kuku"handle" anaweza, ukirudi nyumbani maji ya uvuguvugu ya kuoga, juisi iliyochanganywa palachichi, passion na iriki. Akipika ugali ni sembe na si dona. Chai lazima iwe na karanga pembeni au korosho. Massage kwa sana ili kupunguza uchovu. Kama kweli wewe ni mtaalamu basi mara nyingine tumia mbinu za nje ya uwanja ili kushinda mechi si lazima uingie uwanjani.