VentureCapitalist
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 403
- 545
Juzi kati wadau nilienda kwenye Harusi ya ndugu, sasa nilikabidhiwa gari niwaendeshe bridesmaids.
Katika harakati za hapa na pale nikiwa nimeshaopoa mmoja wakati ule binti akawa amenielewa balaa hata wakati wapicha tukafanya photoshoot session yetu mpaka tukakiss.
Sasa nashangaa baada ya kumaliza shughuli ya Harusi demu anasoma chuo karudi hostel anakuwa na kiburi balaa. Nataka nimtoe out anasema Hana muda. Amekuwa na dharau,jeuri sijapata kuona. Nilitaka kumtukana.
Ushauri wenu wadau, demu mwenye kiburi nimle tu tunda niachane naye maana siwezi kuwa na demu mwenye ngozi ya kondoo kumbe ndani fisi.
Katika harakati za hapa na pale nikiwa nimeshaopoa mmoja wakati ule binti akawa amenielewa balaa hata wakati wapicha tukafanya photoshoot session yetu mpaka tukakiss.
Sasa nashangaa baada ya kumaliza shughuli ya Harusi demu anasoma chuo karudi hostel anakuwa na kiburi balaa. Nataka nimtoe out anasema Hana muda. Amekuwa na dharau,jeuri sijapata kuona. Nilitaka kumtukana.
Ushauri wenu wadau, demu mwenye kiburi nimle tu tunda niachane naye maana siwezi kuwa na demu mwenye ngozi ya kondoo kumbe ndani fisi.
, khaaa