Huyu ni baba yake Susan Mzee aliyepo UK.Pole Susan,mdogo wako Charles pamoja na wanafamilia wote.He was a great person.We will definetly miss him.
RIP Professor Samuel Mushi.
Ndugu wana Jf,habari iliyopatikana punde tu kupitia Tbc1 habari saa mbili hii ni kwamba Prof Samuel Mushi aliekua akifundisha UDSM amefariki dunia leo hii ghafla: Source: Tbc1 habari
Ndugu wana Jf,habari iliyopatikana punde tu kupitia Tbc1 habari saa mbili hii ni kwamba Prof Samuel Mushi aliekua akifundisha UDSM amefariki dunia leo hii ghafla: Source: Tbc1 habari
Alikuwa Professor mkuu hapo Mlimani.Alikuwa na upara.Huyo mwenye Afro ni mwingine na simfahamu.Labda utaje the first name kama hukumaanisha kejeli msibani.
"ni vema wote walio serikalini kupitia chama chake Rostam "CCM" pia wakajivua gamba-Nayakumbuka maneno yake siku chache zilizopita Tbc1. Umeondoka kipindi ambacho busara yako inahitajika sana , R.I.P Prof. Mushi, Poleni sana wafiwa.