Msiba wa mama yangu mzazi

Msiba wa mama yangu mzazi

Pole sana,, sisi tuko nyuma yako katika kipindi hiki kigumu kwako,,

Lakini ujue yakua sote njia ni moja,, mwache mama atangulie mbele ya haki kazi yetu ni moja tuu kumwombe kwa Muumba alazwe mahali pema peponi🙂🙂
 
Pole sana kaka. Msiba usikie tu ivo kwa mwezako, ni msukosuko. Mwenyezi mungu akufanyieni wepesi.
 
Pole sana mkuu allah akujaze nguvu na akupe subra kipindi hiki kigumu.
 
Pole sana mkuu,Mungu akutie nguvu na kukufariji kwa kuondokewa na mzazi.
 
Pole mkuu, Mungu awape familia yote faraja katika kipindi hichi kigumu.
 
Pole sana mkuu na wafiwa wote mungu awape faraja.
RIP Mama
 
Back
Top Bottom