nimekuheshimu na allah ( s.w ) akuzidishie iman pia.Yaani umefiwa na mama Leo leo na kuposti JF leo leo, hii mitandao imetuharibu sana.
Huna tofauti na wale wakiona ajali badala ya kuokoa majeruhi wao wanakazana kupiga picha Kwanza wawe wa Kwanza kurusha kwenye mitandao.
R.I.P. Mama. !
Inna lillah wainna ilaih raju'un.poleni wanafamilia,mungu awavushe salama kipindi kigumu.Wanajamvi nasikitika kutangaza msiba wa MAMA yangu mzazi uliotokea leo mjini MOROGORO, in shaa allah maziko kesho alasiri KOLA HILL CEMETERY.