Aaah umenikumbusha mjomba wangu nimemlaza hapo.
Pole sana nsereko. Mungu ndie mpangaji wa yote. Midomo yako isikauke maneno ya shukhrani kwa Mungu kwa yote aliyotenda.
Yaani umefiwa na mama Leo leo na kuposti JF leo leo, hii mitandao imetuharibu sana.
Huna tofauti na wale wakiona ajali badala ya kuokoa majeruhi wao wanakazana kupiga picha Kwanza wawe wa Kwanza kurusha kwenye mitandao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.