Anayesema hii serikali ni sikivu na ajitokeze mbele,
anayesema polisi hawana double standards na anyooshe mkono,
anayesema Tanzania kuna uhuru wa habari na aseme sasa,
anayedhani polisi hawajatumwa na atupe maelezo ya kutosha.
Hii kitu inauma,.
ANAYESEMA TANZANIA NI NCHI YA AMANI NA AONGEE SASA!