GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
pnemonia kumbe yaua siku hizi?
What do you want to insinuate?
pnemonia kumbe yaua siku hizi?
<br />Diwani Manoko wa kata ya Kirumba jijini Mwanza kupitia tiketi ya Chadema kafariki leo katika hospitali ya Bugando wald namba 7 baada ya kuugua kwa muda wa siku 2 kwa ugonjwa wa Pneumonia!
Umetimiza Wajibu wako Mpiganaji, Kapumzike kwa Amani. Ulionyesha ukomavu katika mageuzi tokea pale ulipodhibiti ubadhilifu wa Mapato katika Mwalo wa Kirumba Mwaloni chini ya Taasisi ya MWADESO.
Nakumbuka wiki iliyopita nazungumza nawe nikiwa Mwanza ukiwa katika Afya njema kabisa, Mitaa ya Mwanza Hotel wakati tulipogongana Ofisi za Precision Air nikithibitisha safari. Thread hii naitazama kama Ndoto.
View attachment 36333
Mungu Akulaze Mahala Pema.
Am deeply hurted
pnemonia kumbe yaua siku hizi?