Mshtuko: Mloganzila hospital hawana maji

Mshtuko: Mloganzila hospital hawana maji

Nahisi mabwawa yamekauka...ila kuna mradi wa kuleta maji kutoka USA wazee wapo huko wanafanya mipango msihofu soon tatizo la maji litakuwa historia.

Hao Wagonjwa kwasasa wawe wavumilivu kesho VP kutoka Washington atakuja na ndoo kadhaa kwenye airforce.
 
Kwakweli katika hospitali bora kwangu kwa sasa ni hospitali moja hivi ipo mkoa wa njombe inaitwa ikonde consolata hospital aisee huduma tuliyo ipata pale kupitia kwa mzee wangu ambaye alisha kaa muhimbili karibu mwezi na hapati naafuu lakini kaenda kuponea huko tena kwa muda mfupi sana hadi sikuamini, na sasa yuko safi kabisa.

Kwangu mimi muhimbili wasubiri kwanza pamoja na kwamba wana kila kitu ila kuna jambo limekosekama hasa kwa haya matatizo ya kila siku.
LIPIA TANGAZO
 
Siyo kweli,haiwezekani donar country ambayo imetoa msaada kwa Uturuki Hospitali yake muhimu kama hii ikose maji
 
Si muda mrefu tuliambiwa zimetoka billions of shillings kufufua visima vya maji vilivyopo Kigamboni ili kupunguza tatizo la maji mjini Daslama
- MRADI UNAENDELEAJE?
-Umefika hatua gani?
  • Lini tutegemee maji kutoka Kigamboni?
  • Pesa zote za mradi zimeshatolewa?

Huku kwetu huku, maji ya bomba yanakuja kwa zile Bowser! Tunalipa sh 15,000 kwa lita 1,000. Leo ni wiki 2 kamili tangu tumeagiza watuletee, wanasema hakuna maj! Na si kusema labda tunachota ndoo moja moja, la! Anakuja, anamwaga lita 4,000 sehemu nyingine 5,000 anaondoka, lakini hawajaonekana kwa wiki 2.

Kuna mgao, hatujui! Hakuna maji, hatujui! Mvua haijanyesha, sio kweli.

Bilioni 2.3 kwenda Uturuki, zisingetosha kuipa Mloganzila mfumo wa kuvuna maji ya mvua na kuhifadhi?
 
Back
Top Bottom