Mshkaji wa Ghetto akaharibu mbaya…!

Nilikumisi mtambuzi ijumaa nilikutafuta kupitia makala za kesi kama ufanyavyo kila ijumaa but nilikukosa ila nimefurahi umerudi. Jamaa nadhani alitaman ardhi ipasuke kuficha hiyo fedheha ya kuumbuliwa kijijini
 
Nilikumisi mtambuzi ijumaa nilikutafuta kupitia makala za kesi kama ufanyavyo kila ijumaa but nilikukosa ila nimefurahi umerudi. Jamaa nadhani alitaman ardhi ipasuke kuficha hiyo fedheha ya kuumbuliwa kijijini

Ijumaa nilikuwa kwenye Birthday yangu ya kuzaliwa mkuu...
 
Ni bahati sana kukutana na member kama mtambuzi.

Namshukuru mungu kwa kupata bahati hiyo ya kumuona mtambuzi somewhere... Maana anachangamsha sana jukwaa kwa mafundisho yake,

Na siku nikikufamania tena pale pale nilipokukuta inabid unipige lecture ya nguvu ya kuhusu visa vyako
 
Ni bahati sana kukutana na member kama mtambuzi.

Namshukuru mungu kwa kupata bahati hiyo ya kumuona mtambuzi somewhere... Maana anachangamsha sana jukwaa kwa mafundisho yake,

Na siku nikikufamania tena pale pale nilipokukuta inabid unipige lecture ya nguvu ya kuhusu visa vyako

Nilikustukia maana ulikuwa unaongea ki-JF - JF hivi...LOL
 
Yaani katika watu waJF ambao naweza kutoa chochote ili niwaone ni wewe, yaani huwa nashindwa kukuimagine. Hauna nafasi ya muhudumu kwenye Mtambuzi pub?

Vimini ndio nguo nizipendazo, hivyo usihofu kuhusu qualification. LOL

mhhhh ..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom