Uchaguzi 2020 Mshituko: Wananchi Kigoma mjini wamtaka Prof. Joyce Ndalichako

Hizi nazo ni taarifa za kushitusha? Au umejisikia tu na wewe leo siku isipite bila angalau kuleta uzi wako? Elitwege,

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
Elitwege, Ninachokiona hapa ni porojo zako tu,ushahidi wa wanakigoma kumtaka Prof upo wapi?
Utafiti uliofsnya upo wapi?tuoneshe hata uliowahoji?majina yao na sahihi zao kwamba wanamtaka Prof, weka hata video!
Acha porojo,

Kama unanukuu kituo kama Clouds, hao ni wapambe wa CCM hakuna kitu hapo, leta data kutoka vyombo huru kama Mwananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasimdanganye yeye aende kwao kibondo kigoma wala hawamjui msimtafutie aibu za buree mana hata nusu ya kura za mshindi hatozipata
wala haitaji kura zote hizo anachohitaji ni CC ya CCM kumuidhinisha kama mgombe, mengineyo tume , mkurugenzi na Polisi watayakamilisha.
zama zimebadilika
 
Hii ya ¨kutuma watu¨ waje kukuomba ugombee ipo sana msimu huu.

Ni aina fulani ya kujipigia promo
 
Zitto sio level ya Ndalichako,achilia mbali heavy weight Zitto Kabwe ,huyo ndalichako hawezi kushinda jimbo lolote la Kigoma uchaguzi ukiwa huru na haki.

Zitto ataacha kuwa mbunge siku akiamua kuacha ubunge mwenyewe,maana kwa Kigoma Zitto ni Mwami.

Tena jimbo la Kigoma mjini ndio moja ya majimbo yenye uziefu wa siasa za kihuni na vurugu.

Hila zozote dhidi ya Zitto kama ataamua kugombe hazitafanikiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ka mtela pahovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…