Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
- Thread starter
- #21
Hamna wa kumzuia profKwa Mziki wa Zitto huyu mama ataibika bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna wa kumzuia profKwa Mziki wa Zitto huyu mama ataibika bure.
Jikite kwenye hojaFala kabisa wewe... Unaandika kizindaki tu huna lolote..!
Waislam wako wangapi?Wale waislamu wa Kigoma Mjini hawawezi kumtaka huyo Mkibondo..sijui...
90%
wala haitaji kura zote hizo anachohitaji ni CC ya CCM kumuidhinisha kama mgombe, mengineyo tume , mkurugenzi na Polisi watayakamilisha.Wasimdanganye yeye aende kwao kibondo kigoma wala hawamjui msimtafutie aibu za buree mana hata nusu ya kura za mshindi hatozipata
Wana Kigoma wanataka mtendajiWaziriiii wa masifuriiii ndio wanamtaka???, kwa lipi alilofanyaaa nchii hii??
Hapa si clouds, clouds wenyewe hawa hapa mkuu.
Ka mtela pahovyonilitaka nikutukane tusi baya wewe mleta mada basi nimeogopa mods wangenishukia kama mwewe, lakini huu ulioleta ni uhalo mtupu. Kuna majimbo kama Mtera mbunge weke anashinda humo jimboni yana nini? ZAIDI WANANCHI WAKE WALIWAUWA WALE WANASAYANSI WA SERIAN KWA IMANI ZA KIJINGA.