ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Kwani upigaji uliwahi kuisha nini?Shida nao wakitokea watu kama magutpye darksiders awawakawizi.
Hii nchi ngumu Sana hasa ukiwa mzalendo yaani upigaji umerudi kwa kasi.
Chukua chako mapema
Kwani upigaji uliwahi kuisha nini?Shida nao wakitokea watu kama magutpye darksiders awawakawizi.
Hii nchi ngumu Sana hasa ukiwa mzalendo yaani upigaji umerudi kwa kasi.
Chukua chako mapema
Awamu ya 6 haina hata mwaka unaanza kuwa mpiga ramli?!!! 😳😳😳Kwenye hayo matano uliyoyaeleza ni kipi kimefanywa na Awamu ya sita kwa ufanisi mkubwa kushinda awamu zote zilizotangulia?
Si habari ya ninavyotaka mimi.Kwani unatakaje?
Huko Japani kuna taarifa za kushangaza za deadly covid 19 variant kupotea nchini humo kwa mazingira ya kushangaza.Alafu Ujerumani wamepigwa na wimbi la corona la 4 huku wakiwa wamechanjwa wote
Si habari ya ninavyotaka mimi.
Kimantiki uchumi unafuata nguvu za soko, nguvu za urari wa utengenezwaji, upatikanaji, usambazaji na mahitaji ya kitu.
Hizi nguvu (supply and demand) ndizo zinapanga bei, zinapanga ushindani, zinapanga ufanisi.
Ukimpa kazi ya kuzalisha, kusambaza umeme mtu mmoja tu, hana mshindani. Ana uhakika na soko, anaweza hata kupanga bei.
Atapataje motisha ya kufanya vizuri zaidi wakati hana mpinzani na watu ni lazima wanunue kwake tu?
Jibu hapo ni kufungua soko, waje wapinzani wengi kupambana naye.
TANESCO wanazingua na umeme wao? Aaah, tunahama tunakwenda kwenye kampuni nyingine ya umeme ambayo umeme wake ni wa uhakika zaidi.
Kungekuwa na mfumo huo, hata kama tusingekuwa na mfumo usio matatizo, tungemaliza ukiritimba na matatizo yanayotokana na monopoly.
Kwa sasa hata mtu ukiwa na mtambo wako wa solar wa kuhudumia umeme kijiji tu, lazima uwekewe undava na TANESCO.
Si suala la imani tu.Bado una imani kuwa Tanzania inaweza kuwa “rational environment” kiasi hicho?
utopolo.
Kwa hicho kichwa cha habari sina haja ya kusoma kilichopo ndani maanaMshituko mkubwa nimeupata baada ya kugundua kuwa watanzania wengi wamezitunza video mbalimbali za hayati Magufuli kama reference na kipimo cha kupima utendaji wa serikali iliyopo madarakani na serikali zitazokuja.
Kiongozi yoyote sasa hivi akitoa visingizio kwamba jambo fulani haliwezekani kufanyika watanzania wanamjibu kwa kumuwekea video za Magufuli na kumuuliza mbona kipindi cha hayati Magufuli hilo jambo liliwezekana?
Alianza waziri wa nishati January Makamba kuwadanganya watanzania kuwa mgao wa umeme unaotikisa nchi kwa sasa unatokana na awamu ya tano kuzuia maintanance baada ya hayati Magufuli kusema hataki kusikia mgao wa umeme na hivyo vifaa kupata uchakavu uliosababishwa na kuwaka mfululizo kwa miaka 5.
Kabla ya uongo wake haujakauka watanzania walimshushia video za Magufuli akianika uozo na mbinu chafu za watendaji wa Tanesco kuhongwa pesa na kufungulia maji ili baadhi ya wafanyabuashara wasio waaminifu wauze jenerata zao!
Ghafla TANESCO wsmebadilika tena na kusesema mgao wa umeme unasababishwa na kupungua kwa maji kwenye mabwawa na siyo regular maintanance iliyosemwa na Makamba.
Kwenye mkumbo wa kusema uongo hadharani ameingia pia waziri wa uwekezaji Godfrey Mwambe baada ya kuwadanganya watanzania kuwa hakuna mkataba wowote uliowahi kusainiwa kuhusu ujenzi wa bandari ya Bagamoyo na akaonyesha kushangaa hayati Magufuli aliyatoa wapi hayo maneno!
Mwambe bila kujali onyo la wahenga linalotaka kuogopa Mungu na technologia akasahau kuwa kuna video ikionyesha rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete akiweka jiwe la msingi ujenzi wa bandari ya Bagamoyo!
Je, jiwe la msingi huwa linawekwa bila mkataba wowote? Hata mtaani mama ntilie, bodaboda, wachimbaji wadogo machinga mara kwa mara wamekuwa wakirejea hotuba za Magufuli zilizokuwa zinasisitiza kuwa sera za CCM lazima ziegemee kuwalinda wanyonge ili nao watajirike na siyo kuwafukuza na kuwanyanyasa.
Ninavyoona mbele ya safari kuna hatari ya hotuba mbalimbali za hayati rais Magufuli kutumiwa na wananchi kuibana serikali kutakakosababisha CCM kuondolewa madarakani.
Kwenye kizazi hiki CCM wana njia moja tu ya kupona nayo ni kufanya kazi zaidi kuliko hayati Magufuli na siyo kufanya kazi chini ya kiwango huku wakitoa visingizio mbalimbali.
Halafu mwehu mmoja anapita anaropoka mchanje muwe salama.
Kwa sababu watawala wenye dola wameamua hivyo.Kwa nini mpaka leo TANESCO ina monopoly kwenye umeme Tanzania?
Shida tupu.Haha, bora ule mkopo (1.3 Trillioni)ungepelekwa kwenye maji, umeme vifurushi ruzuku kwenye mbolea na mafuta kudhibiti mfumuko wa bei. Makali ya maisha.
Mfano mtu apige hela ya madawa au vifaa tiba kwenye hospital zetu watu wakose huduma matokeo yake ni nini kama sio kuua usiwe na mawazo robo kilomita.Ni heri kuobgozwa na mafisadi kuliko wauaji
Kama upinzani ungekuwa unamuunga mkono magu enzi za uhai wake na sasa hii vita ingekuwa nyepesi.
Muuaji lazima atakuwa fisadi pia, maana lengo la kuua wanaokukosoa ni ili iweje kama sio kuiba?Mfano mtu apige hela ya madawa au vifaa tiba kwenye hospital zetu watu wakose huduma matokeo yake ni nini kama sio kuua usiwe na mawazo robo kilomita.
Kiongozi wewe upo wapi? Mbona inapigwa tu mieleka kama kumsukuma mlevi!!!! Mpaka goli la mkono limefeli, sasa wanatumia Taasisi zenyewe kuwepo hapo walipo, yaani wako kama pete na chanda na Taasisi hizo bila hivyo watatoweka mazima.Ni kweli ccm wanatakiwa kufanya kazi sana, kwa kiwango, au hata kumzidi hayati Magufuli, kama wanataka waendelee kuonekana relevant kwa wananchi. Kumtumia Magufuli as a scapegoat ya utendaji mbovu haitawasaidia.
Hilo la kuondolewa madarakani kwa sasa ni gumu kwa sababu hakuna chama mbadala. Ingekuwa chadema bado ina nguvu kama enzi zile za Dr Slaa, ccm wangepata tabu sana
Kwa sasa hivi labda wananchi waamue kuchagua chochote tu kisichokuwa CCM bila kujali athari zake ndo hilo litawezekana.