JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,816
Kinachopewa dhamana ya kuunda serikali kimepewa nchi. Zanzibar ina serikali, Wabunge ni wawakilishi wa wananchi kwa serikali.Kupewa nchi kivipi?
Chama kimoja kikishinda Urais, kingine tofauti kikishinda ubunge na kingine tofauti kabisa kikishinda Zanzibar ni kipi kitakuwa kimepewa nchi kati ya hivyo vitatu?