Kumbe umeanza kugundua hiyo ndo kazi ya CCM,MAJUNGU NA KUCHONGEANA.Hana tofauti na wewe unachokifanya leo kubamba watu kesi za ugaidi.Mnatofautiana kwa moja tu:wawa yeye alijitambua na kuamua kuondoka CCM,wewe na Chemba mmeenda hatua ya juu zaidi yaani kung"oa watu kucha,kulipua mabomu n.k.