Mshindi Oktoba 25 (mathematical analysis)

Mshindi Oktoba 25 (mathematical analysis)

CCM kwa takwimu walizo nazo wanachama wake ni milioni 7 hebu piga kwa hesabu hiyo.

Pia CHADEMA inakadiriwa inawanachama milion 3.7 hebu piga kwa hesabu hiyo ili ili tubalance analysis yako.

Pia tupingane kisayansi si maneno ya shobo.
Hata kabla sijafanya,kwa idadi hyo % za magufuli zitashuka kidogo,kumbuka mwanzoni zile 5M zilikuwa zinaenda free but this time tutakuwa na 7-3.7=3.3, Kwahyo zitakazoenda free ni 3.3M only, what do u expect??
 
Hata kabla sijafanya,kwa idadi hyo % za magufuli zitashuka kidogo,kumbuka mwanzoni zile 5M zilikuwa zinaenda free but this time tutakuwa na 7-3.7=3.3, Kwahyo zitakazoenda free ni 3.3M only, what do u expect??

Hapo sija kusoma vema jua pia kuwa mfano kwenye hiyo categorise hawawezi kujitokeza wote kupiga kura so hizo % huoni kuwa zitabadlika? Nomba ufafanuzi.
 
Nimefanya anlysis baada ya kufanya research
kwenye makundi mbali mbali ya watu kulingana na
umri wao,na pia Nimefanya utafiti juu ya
wagombea wawili wenye nguvu (Mh.Lowasa na
Dr.Magufuli).


Nime-assume kwamba wagombea ni wawili hivyo basi
kura zote zitaenda kwao.

Nimecategorise wapiga
kura kwa umri,kutokana na takwimu ya tume ya taifa ya uchaguzi,wapiga kura wenye
umri kuanzia miaka 18-35 ni 12,894,576=57%,
36-50 ni 5,690,668=25% na 50-Above ni
4,165,544=18%.


CCM wana wanachama wasiozidi mil 5, ambayo ni
sawa na 22% ya wapiga kura wote,hvyo basi nitawapa 22% ya wapiga
kura kwa kila category.


kutokana na research niliyofanya, 80% ya wapiga
kura wenye umri wa miaka 18-35 watamchagua
Lowasa na 20% Magufuli,ukifanya calculation 22%
ya voters kwenye hili kundi ni 2,836,806, 20% ya
wanaobaki ni 1,926,215 na 80% ni 8,046,215, hvyo
basi jumla ya kura za wagombea ni LOWASA
8,046,215,Magufuli 4,848,359.


kwa 36-50 voters, 55% watamchagua Lowasa, 45%
watamchagua Magufuli,22% kwenye hili kundi ni
1,251,946,45% ya wanaobaki ni 1,997,424 na 55%
ni 2,441,296,jumla ya kura kwa wagombea, Lowasa
2,441,296, Magufuli 3,249,371.


Kwa 50-Above 70% watamchagua Magufuli, 30%
watamchagua Lowasa, 22% kwenye hili kundi ni
916,419,30% ya wanaobaki ni 974,737,70% ni
2,274,387,jumla ya kura kwa wagombea, Lowasa
974,737, Magufuli 3,190,806.


kutokana na analysis hii Mh.Lowasa atashinda urais
kwa kupata jumla ya kura 11,462,248 sawa na
asilimia 50.4.


Magufuli atapata jumla ya kura 11,288,536 sawa na
asilimia 49.6.


Margin of error +5or-5%.


NOTE: Mgombea wa chadema/ukawa ana nafasi
kubwa sana ya kushinda ukizingatia kwamba sija-
consider zile kura za moja kwa moja kutoka kwa
wanachama washirika wa ukawa lakini pia 10% ya
wanachama wa ccm wana imani na Lowasa kuliko
magufuli na wako tayari kumchagua Lowasa.

Wewe mjinga kweli..Uchaguzi wa mwaka huu una wagombea 8 wa Urais.

Moja: Kwa kuwa kuna wagombea nane basi hatutegemei kuwa jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa ziwe milioni 22.75 yaani 100% ya watu wowe waliojiandikisha.

Hii ni kwa sababu sio exactly watu wote waliojiandikisha watapiga kura.Lazima kutakuwa na dadi fulani ya watu ambao hawatapiga kura mf. watu 100

Mbili:

Lazima kuwe na asilimia chache inaweza kuwa 1% hadi 2% au zaidi ya kura jumla watakazopata wagombea wa vyama vya ACT, TLP ,Chaumma ADC,UPDP na NRA

Kwa hiyo jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa zitakuwa pungufu ya 100% ya kura zote halali, mathalani 98%.

Mwisho: Unavyoangalia uchaguzi mkuu wa Tanzania 2015 lazima ujue kuwa ;
1. Sio watu wote waliojiandikisha watapiga kura
2. Kati ya watu watakaopiga kura zipo kura zitakazoharibika
3. Idadi ya wanaogombea urais ni wagombea nane(8)
4. Jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa hazitafika asilimia 100% ya kura halali
 
Ni ulofa na upumbavu kuamini kuwa eti 80% ya vijana watamchagua lowasa na 20% tu ndio watamchagua magufuli. Huu ni ulofa uliopitiliza. Wazalendo wote bila kujali umri wao watamchagua magufuli. Lowasa kura zake ni kitoka kwa wanywa viroba.

Uwage unatulia wakati unaComment,umekalia nini kwani.
Rudi darasani pia maana kiswahili chako pia chaleta utata KAMA KWELI darasa la saba ULIIHITIMU vizuri.
kitoka ndio kidudu gani?,
NDEZI WEEE!.
 
Wewe mjinga kweli..Uchaguzi wa mwaka huu una wagombea 8 wa Urais.

Moja: Kwa kuwa kuna wagombea nane basi hatutegemei kuwa jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa ziwe milioni 22.75 yaani 100% ya watu wowe waliojiandikisha.

Hii ni kwa sababu sio exactly watu wote waliojiandikisha watapiga kura.Lazima kutakuwa na dadi fulani ya watu ambao hawatapiga kura mf. watu 100

Mbili:

Lazima kuwe na asilimia chache inaweza kuwa 1% hadi 2% au zaidi ya kura jumla watakazopata wagombea wa vyama vya ACT, TLP ,Chaumma ADC,UPDP na NRA

Kwa hiyo jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa zitakuwa pungufu ya 100% ya kura zote halali, mathalani 98%.

Mwisho: Unavyoangalia uchaguzi mkuu wa Tanzania 2015 lazima ujue kuwa ;
1. Sio watu wote waliojiandikisha watapiga kura
2. Kati ya watu watakaopiga kura zipo kura zitakazoharibika
3. Idadi ya wanaogombea urais ni wagombea nane(8)
4. Jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa hazitafika asilimia 100% ya kura halali

Mtu yoyote anayefikiria juu juu anaweza akaniita mjinga kama ulivyofanya ww,lakini ngoja nikusaidie tu.

Kama umesoma hii post vzr kuna sehemu nimestate assumption"kama kura zote zitaenda kwa hawa wawili" ni assumption tu.

Hii ina maana kwamba hata kama hawa wagombea wawili watapata jumla ya kura Mil 10 kwa pamoja basi Lowasa atapata 50.4% ya 10mil votes na Magufuli 49.6% of 10mil votes, unless kundi fulani lisijitokeze kwa wingi kupiga kura, kwa Mfano kama vijana wa 18-35 hawatajitokeza kwa wingi kupiga kura basii itakuwa ni piga kubwa kwa Lowasa, na kama wale wa 50-Above hawatajitokeza kupiga kura kwa wingi basi itakuwa ni pigo kwa Magufuli.

TULIA TAFAKARI UTAELEWA! !!
 
Hapo sija kusoma vema jua pia kuwa mfano kwenye hiyo categorise hawawezi kujitokeza wote kupiga kura so hizo % huoni kuwa zitabadlika? Nomba ufafanuzi.

Mkju iko hv kama kundi fulani halitajitokeza kupiga kura kwa wingi basi yule Mgombea ambaye analitegemea sana kundi hilo atakuwa affected.

kwa Mfano,Lowasa anategemea kura nyingi kutoka kwa 18-35 yrs,ina maana kama kundi hili halitopiga kura kwa wingi basi atakuwa na wakati mgumu sana.

Lakini vile vile kama kundi la 50-Above hawatajitokeza kupiga kura kwa wingi basi Magufuli atakuwa na wakati mgumu.

MY TAKE: Mambo yatabaki hv kama haya makundi yatajitokeza kupiga kura kwa wingi otherwise yatabadilika.
 
Ni ulofa na upumbavu kuamini kuwa eti 80% ya vijana watamchagua lowasa na 20% tu ndio watamchagua magufuli. Huu ni ulofa uliopitiliza. Wazalendo wote bila kujali umri wao watamchagua magufuli. Lowasa kura zake ni kitoka kwa wanywa viroba.

Jitaidi kutumia kichwa kufikiri usitumie masaburi kufikiri huyu katoa mchanganuo wake na wewe weka wako kwa nini wasinywe viroba wakati viwanda mmeviuwa wenyewe awana kazi za kufanya ndio maana wameamua kupigia kura ukawa hili warudishe viwanda waweze kupata kazi za kufanya
 
Hayo mahesabu yangeonesha ushindi kwa Magufuli basi ungeonekana ushapewa buku7 na wangeanza kuchambua mahesabu yako na kwa kuyapinga,ila hapo umefurahisha hivyo hawaitaji hata kuchambua mahesabu yako.

yaah sure uko sahihi
 
Ni ulofa na upumbavu kuamini kuwa eti 80% ya vijana watamchagua lowasa na 20% tu ndio watamchagua magufuli. Huu ni ulofa uliopitiliza. Wazalendo wote bila kujali umri wao watamchagua magufuli. Lowasa kura zake ni kitoka kwa wanywa viroba.

Haki ya nani umempa za usoni.
 
Wewe mjinga kweli..Uchaguzi wa mwaka huu una wagombea 8 wa Urais.

Moja: Kwa kuwa kuna wagombea nane basi hatutegemei kuwa jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa ziwe milioni 22.75 yaani 100% ya watu wowe waliojiandikisha.

Hii ni kwa sababu sio exactly watu wote waliojiandikisha watapiga kura.Lazima kutakuwa na dadi fulani ya watu ambao hawatapiga kura mf. watu 100

Mbili:

Lazima kuwe na asilimia chache inaweza kuwa 1% hadi 2% au zaidi ya kura jumla watakazopata wagombea wa vyama vya ACT, TLP ,Chaumma ADC,UPDP na NRA

Kwa hiyo jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa zitakuwa pungufu ya 100% ya kura zote halali, mathalani 98%.

Mwisho: Unavyoangalia uchaguzi mkuu wa Tanzania 2015 lazima ujue kuwa ;
1. Sio watu wote waliojiandikisha watapiga kura
2. Kati ya watu watakaopiga kura zipo kura zitakazoharibika
3. Idadi ya wanaogombea urais ni wagombea nane(8)
4. Jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa hazitafika asilimia 100% ya kura halali

Ni kazi nyepesi assum hata kma itauwa 80% hiyo ifanye 100%
 
Nimefanya anlysis baada ya kufanya research
kwenye makundi mbali mbali ya watu kulingana na
umri wao,na pia Nimefanya utafiti juu ya
wagombea wawili wenye nguvu (Mh.Lowasa na
Dr.Magufuli).


Nime-assume kwamba wagombea ni wawili hivyo basi
kura zote zitaenda kwao.

Nimecategorise wapiga
kura kwa umri,kutokana na takwimu ya tume ya taifa ya uchaguzi,wapiga kura wenye
umri kuanzia miaka 18-35 ni 12,894,576=57%,
36-50 ni 5,690,668=25% na 50-Above ni
4,165,544=18%.


CCM wana wanachama wasiozidi mil 5, ambayo ni
sawa na 22% ya wapiga kura wote,hvyo basi nitawapa 22% ya wapiga
kura kwa kila category.


kutokana na research niliyofanya, 80% ya wapiga
kura wenye umri wa miaka 18-35 watamchagua
Lowasa na 20% Magufuli,ukifanya calculation 22%
ya voters kwenye hili kundi ni 2,836,806, 20% ya
wanaobaki ni 1,926,215 na 80% ni 8,046,215, hvyo
basi jumla ya kura za wagombea ni LOWASA
8,046,215,Magufuli 4,848,359.


kwa 36-50 voters, 55% watamchagua Lowasa, 45%
watamchagua Magufuli,22% kwenye hili kundi ni
1,251,946,45% ya wanaobaki ni 1,997,424 na 55%
ni 2,441,296,jumla ya kura kwa wagombea, Lowasa
2,441,296, Magufuli 3,249,371.


Kwa 50-Above 70% watamchagua Magufuli, 30%
watamchagua Lowasa, 22% kwenye hili kundi ni
916,419,30% ya wanaobaki ni 974,737,70% ni
2,274,387,jumla ya kura kwa wagombea, Lowasa
974,737, Magufuli 3,190,806.


kutokana na analysis hii Mh.Lowasa atashinda urais
kwa kupata jumla ya kura 11,462,248 sawa na
asilimia 50.4.


Magufuli atapata jumla ya kura 11,288,536 sawa na
asilimia 49.6.


Margin of error +5or-5%.


NOTE: Mgombea wa chadema/ukawa ana nafasi
kubwa sana ya kushinda ukizingatia kwamba sija-
consider zile kura za moja kwa moja kutoka kwa
wanachama washirika wa ukawa lakini pia 10% ya
wanachama wa ccm wana imani na Lowasa kuliko
magufuli na wako tayari kumchagua Lowasa.

Ahsante kwa makadirio yako..... ila kama umetoa kura 5 mil za wanachama wa CCM, Mbona hujatuambia UKAWA wana wanachama kiasi gani na kuzitoa kura zao?
 
Nimefanya anlysis baada ya kufanya research
kwenye makundi mbali mbali ya watu kulingana na
umri wao,na pia Nimefanya utafiti juu ya
wagombea wawili wenye nguvu (Mh.Lowasa na
Dr.Magufuli).


Nime-assume kwamba wagombea ni wawili hivyo basi
kura zote zitaenda kwao.

Nimecategorise wapiga
kura kwa umri,kutokana na takwimu ya tume ya taifa ya uchaguzi,wapiga kura wenye
umri kuanzia miaka 18-35 ni 12,894,576=57%,
36-50 ni 5,690,668=25% na 50-Above ni
4,165,544=18%.


CCM wana wanachama wasiozidi mil 5, ambayo ni
sawa na 22% ya wapiga kura wote,hvyo basi nitawapa 22% ya wapiga
kura kwa kila category.


kutokana na research niliyofanya, 80% ya wapiga
kura wenye umri wa miaka 18-35 watamchagua
Lowasa na 20% Magufuli,ukifanya calculation 22%
ya voters kwenye hili kundi ni 2,836,806, 20% ya
wanaobaki ni 1,926,215 na 80% ni 8,046,215, hvyo
basi jumla ya kura za wagombea ni LOWASA
8,046,215,Magufuli 4,848,359.


kwa 36-50 voters, 55% watamchagua Lowasa, 45%
watamchagua Magufuli,22% kwenye hili kundi ni
1,251,946,45% ya wanaobaki ni 1,997,424 na 55%
ni 2,441,296,jumla ya kura kwa wagombea, Lowasa
2,441,296, Magufuli 3,249,371.


Kwa 50-Above 70% watamchagua Magufuli, 30%
watamchagua Lowasa, 22% kwenye hili kundi ni
916,419,30% ya wanaobaki ni 974,737,70% ni
2,274,387,jumla ya kura kwa wagombea, Lowasa
974,737, Magufuli 3,190,806.


kutokana na analysis hii Mh.Lowasa atashinda urais
kwa kupata jumla ya kura 11,462,248 sawa na
asilimia 50.4.


Magufuli atapata jumla ya kura 11,288,536 sawa na
asilimia 49.6.


Margin of error +5or-5%.


NOTE: Mgombea wa chadema/ukawa ana nafasi
kubwa sana ya kushinda ukizingatia kwamba sija-
consider zile kura za moja kwa moja kutoka kwa
wanachama washirika wa ukawa lakini pia 10% ya
wanachama wa ccm wana imani na Lowasa kuliko
magufuli na wako tayari kumchagua Lowasa.


i. Kwamba CDM yenyewe haina wanachama?
ii. Kwamba wanachama wote wa ccm wamejiandikisha?

1. Kama hii ingekuwa "statistical model": Y_i=a_i+b_i.X (i=1,2. ikimaanisha, say CDM=1, and CCM=2, X=rika). Kwa maana hiyo, kwenye model, wewe unamaanisha kwa CDM a_1=0 (Kura za CDM ukiondoa mgawanyo wa rika ni 0), wakati kwa a_2 (ccm) ni sawa na 22% (i.e 5M). Huu ni upungufu wa kwanza.

Model yako inaweza kuimarishwa zaidi, kwa kuongeza 'variable" nyingine, say Z (eneo/kanda) amabyo mgombea anakubalika zaidi. Inawezekana kwa mfano Magufuli akakubalika zaidi kanda ya kati kulinganisha na Lowasa, na wakati huo huo Lowasa akukubalika zaidi nyanda za juu kusini. Model mpya iliyoboreshwa inaweza kuwa
Y_i=a_i+b_i.X+c_i.Z

Hii inaweza kutupa uhalisia zaidi wa nani atakuwa mshindi.
 
Hapo umechemka mbaya mkuu. Kwanza kabisa hao unaowaita vijana asilimia 57 na unadai wanamuunga mkono EL sahau hiyo. Wameshasanuka mbaya. Pili ukumbuke kuwa UKAWA watagawana kura na ACT na vyama vingine vyote isipokuwa CCM wana wanachama wao wengi ambao hawadanganyikagi miaka yote. Hayo mahesabu kayafikirie upya mkuu ni ya zamani sana. Upepo ushageuka kitambo. Bodaboda hawafiki hata M1 na wao si wote wako huko.

Ww ndo unamahesabu yakizamani eti ukawa watagawana kura. Kwani ccm wanapanet kura zipi unazozijua mwaka huu. Ccm ndo kura zao zitagawanwa coz kuna watu wako ccm na kura watampigia lowasa lakini hakuna ukawa atakaempigia kura magufuli.
 
Kwa wale wanaofanya analysis huwa wanakuwa na data either kwa kufanya research au kwa kutumia takwimu zilizopo. Muulizeni huyo BASIS (MSINGI) WA ASILIMIA ZAKE ALIZOTUMIA ZIMETOKA WAPI.

WATU WANAKAA BAA NA VILOBA NA KUTUPA TAKWIMU ZA MATAPTAPU (POMBE)
 
Back
Top Bottom