Wewe mjinga kweli..Uchaguzi wa mwaka huu una wagombea 8 wa Urais.
Moja: Kwa kuwa kuna wagombea nane basi hatutegemei kuwa jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa ziwe milioni 22.75 yaani 100% ya watu wowe waliojiandikisha.
Hii ni kwa sababu sio exactly watu wote waliojiandikisha watapiga kura.Lazima kutakuwa na dadi fulani ya watu ambao hawatapiga kura mf. watu 100
Mbili:
Lazima kuwe na asilimia chache inaweza kuwa 1% hadi 2% au zaidi ya kura jumla watakazopata wagombea wa vyama vya ACT, TLP ,Chaumma ADC,UPDP na NRA
Kwa hiyo jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa zitakuwa pungufu ya 100% ya kura zote halali, mathalani 98%.
Mwisho: Unavyoangalia uchaguzi mkuu wa Tanzania 2015 lazima ujue kuwa ;
1. Sio watu wote waliojiandikisha watapiga kura
2. Kati ya watu watakaopiga kura zipo kura zitakazoharibika
3. Idadi ya wanaogombea urais ni wagombea nane(8)
4. Jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa hazitafika asilimia 100% ya kura halali