Mshikaki tsh 100; Hivi hawa wananunua nyama kilo shingapi?

Mshikaki tsh 100; Hivi hawa wananunua nyama kilo shingapi?

Nyama za mtaani na mambo ya uongozi yanaingiliana vp?


Wabongo kwa kulalamika 🙌
Ipo siku utailaumu uongozi mkeo hashiki mimba
Sikiliza juu kukitamalaki chini ni mzigo

Na ndio maana hekima katika uongozi imeambatana na ulezi wa familia.!

Hebu nipe data za watu TZ wenye uwezo wa kutofautisha nyama ya ng'ombe na Binadamu ikitiwa Tangawizi, bizali nyembamba, kitunguu swaumu na soya kwa mbali.!? 🤔
 
Sikiliza juu kukitamalaki chini ni mzigo

Na ndio maana hekima katika uongozi imeambatana na ulezi wa familia.!

Hebu nipe data za watu TZ wenye uwezo wa kutofautisha nyama ya ng'ombe na Binadamu ikitiwa Tangawizi, bizali nyembamba, kitunguu swaumu na soya kwa mbali.!? 🤔
Nauliza hv, mkeo akishindwa kushika mimba utailaumu serikali?
 
nyama za mafungu zinakwaguliwa kutoka kwenye ngozi iliyochunwa ng'ombe na zile nyama za tumboni
Kwakuwa uko machinjioni

Je unajua kwa miaka mingapi ya gridi watu tunalishwa miguu ya wapendwa kwa mishikaki.!
 
Nauona mchanganyiko wa wanyama, ukichanganya unapata nyama+bei nafuu=100/200🤨
 
How do you say Dog in your language 😂😂
 
Acha ujinga basi paka na mbwa wanazagaa mitaani sasa wakuuzie mshikaki bei ghali ya nini?
 
Huwa wanazoa mizoga mbalimbali hasahasa paka na Mbwa barabarani
 
Back
Top Bottom