Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Hivi mnakumbuka zamani neno "mshikaji" lilikuwa likimaanisha mpenzi wako au hawara wako? Baadaye ndio likaja kubadilika na kumaanisha rafiki.....duuuuh....
Ilikuwa ukisikia kwa mfano, Nyani Ngabu mshikaji wake Katelero...hiyo ilikuwa na maana Katelero ni demu wangu...lol...hii misamiati ya kiswahili hii
Ilikuwa ukisikia kwa mfano, Nyani Ngabu mshikaji wake Katelero...hiyo ilikuwa na maana Katelero ni demu wangu...lol...hii misamiati ya kiswahili hii