Mshaurini dada yetu jamani


ukishangaa zaidi unaweza kuta hata pedi mkashea!we kila siku unashangaa mbona stock inapungua kwa kasi hivi!!!!
 
Naah bahati nzuri hiyo experience sijawahi kupata....
maana if ever i came across with such a dumb person like this one...angejuta maisha yake yote:mad2:

Mdogo wangu hebu tuwekane sawa kwanza.

Unajua kuwa maisha ni burudani... na hiyo burudani ni talent..siyo kila mtu anaweza kuitoa?

Sasa kama dada anaapata burudani kwa Mkongomani kuna ubaya gani akikubali kuwa Mkogomani ameolewa na akawafahamisha hicho kitu ndugu na jamaa wakajua hivyo? Possible or not?

Ila upuuzi wa kuuza nyumbe ili kujenga nyingine..BIG NO..Ikishindikana dada apangishe house yake akatafute nyumba ya kupanga aendelee kutesa na mke wake wa Kikokongo!
 

sema yote bidada!!!!kumbe ndo mpo hivo eeeeeeeeh!
 

Rose,

Mbone umekuwa mkali? Au kwa vile dada ndo anagharimia? Mbona tukihonga nyumba au gari inaonekana poa? Dada amependa na starehe ni gharama. Kuna ubaya gani?
 
rose,

mbone umekuwa mkali? Au kwa vile dada ndo anagharimia? Mbona tukihonga nyumba au gari inaonekana poa? Dada amependa na starehe ni gharama. Kuna ubaya gani?
mwanaume asi ndo kichwa cha nyumba au???
@ bacha ..si ndo tulivyo...tupoje kwan?
 

Afu baada ya burudani kinafata nini??
aliyesema maisha ni burudani peke yake ni nani.....?
what about the part where they get to have a family someday/children?
kwa mwanzo mbovu namna hiyo hao watoto watasoma kweli...??
I fail to understand this
 

Asikubali kuuza maskani yake. Na si kila ushauri lazima ufuatwe. Hii ya kumshauri kudanganya imekaa kitapelitapeli. Mwambie awe muangalifu.
 

Baelezee!!!
 
mwanaume asi ndo kichwa cha nyumba au???
@ bacha ..si ndo tulivyo...tupoje kwan?

Katika mazingira haya Da Rose, huyu dada anakuwa ndiye kichwa na mwanamume anakuwa breeding bull. Kuna tatizo gani kwani hapo?
 
=Smiles;1169534]Afu baada ya burudani kinafata nini??

....Burudani..au?

aliyesema maisha ni burudani peke yake ni nani.....?

..Ni suala la kuamua? Unaweza kuyafanya yakawa burudani A-Z...Mzee akitoka bedroom anashika gitaa na kukung'utia ndomboro na wewe unaleta bread?...Is that impossible?.... C'est possible!!!

what about the part where they get to have a family someday/children?
Kwani watota wakijua kwamba mama ndiye driver kuna ubaya wowote? Unadhani hii ndiyo itakuwa kaya ya kwanza kuwa na mfumo wa ki-hivyo?

kwa mwanzo mbovu namna hiyo hao watoto watasoma kweli...??
I fail to understand this

Hakuna mwanzo mbovu hapo...tatizo lao hawa wanataka kuyafanya mambo ambayo non-normal kuwa normal. Kwa nini wasiendeshe maisha yao kivyao vyao ili mradi kila mmoja anaridhika na shea anayotoa/anayopata?
 

Huyo mkongo yuko kikazi zaidi, anawatafutia ndugu zake asylum. Huku Arusha tungemwambia "itakula kwako antiii"
 
I guess whatever we have told her she will take it in a positive way despite the situation surrounding her
 

Mungu hawezi kufananishwa na kitu chochote, kama amekujalia wewe mwanamama kipato ni ili ukitumie wewe na mumewo na wototo wako; kwa maana nyingine wewe umetumika tuu. Au ulitegemea uwe na kipato na ujaliwe kuwa na mume mwenye kipato, kusingekuwa na maelewano huko ndani maana wote mngejiona mafahari. Mshukuru Mungu kwa kukupa uwezo wa kumtunza mumewo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…