Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Haya sasa, haya sasa, Msekwa bila kujijua anaipromote JF na mimi nampa big up kubwa sana.
asante sana mzee wetu ila unachotakiwa au mnachotakiwa ni kujiregister humu ndani ili tubishane humu kwa hoja humu hakuna atakayekufungia mlango unamwaga hoja na sisi tunamwaga ,hapa walikuwepo/wapo watu kama Malaria Sugu, Majimshindo, Msimamo Mkali, hawa jamaa mimi nawakubali sana wanaleta changamoto nzuri sana kwenye forum yetu.
Pius anatakiwa aje humu ndani na sio kupiga kelele huko nje tu haitoshi.
asante sana mzee wetu ila unachotakiwa au mnachotakiwa ni kujiregister humu ndani ili tubishane humu kwa hoja humu hakuna atakayekufungia mlango unamwaga hoja na sisi tunamwaga ,hapa walikuwepo/wapo watu kama Malaria Sugu, Majimshindo, Msimamo Mkali, hawa jamaa mimi nawakubali sana wanaleta changamoto nzuri sana kwenye forum yetu.
Pius anatakiwa aje humu ndani na sio kupiga kelele huko nje tu haitoshi.