Mshangao wa nini?

Mshangao wa nini?

Indume Yene

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
2,968
Reaction score
727
Wanajamvi wenzangu,
Nimekutana na hii picha samuwea, katika hii picha wengi wao walikuwa wanamuangalia mpiga picha. Lakini cha kushangaza, sijui huyo mama mwenye vikuku 2 alikuwa anaangalia wapi!! Sina hakika alikuwa anahesabu nini kutoka kwa JK. Wadau mnasemaje? Angalia picha mwenyewe.

GO9G4179.JPG
 
Alikuwa akifiria appointment alopewa na mheshimiwa na jinsi ya kurudisha fadhila. but nawachukia wamama au wababa wanaobehave kama teenagers!
 
Chakula ya baba hiyo.........:noidea::noidea:
 
Huni hilo mama we acha tu. Angalia lilivyomvalia Sam 6 kwenye picha za home page ya HakiElimu HakiElimu - Home !! Nguo ya usiku ya kwenye kitchen party kwenye offical event ya HakiElimu!! Nafikiri ukilisemesha vizuri tu linakujibu mara moja.

Niliwahi kulisikia pale shoppers plaza linamwambia mwenzie kuhusu mume wa rafiki yake kuwa huyo rafiki yao anajifanya smart wakati mumewe katembea na housegirl wake!! Linapatikana pale kwenye Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora opposite Ikulu.
 
Back
Top Bottom