Mshana Witch project

Nasisitiza arudi akamuombe AMFUNGUE
 
Ngoja kwanza;

Kwahiyo unataka kutuambia nini tunaokenua kupanguswa mkuyenge baada ya kazi, tena kwa vi-leso maalumu kwa kazi hiyo?
Mahaba ni ukishapiga bao huduma zingine makinika zako..
 
Ndio maana inashauriwa ukila mzigo wa mpango wa kando hakikisha mnaenda kuoga wote na kama ni maswala ya kujifuta jifute mwenyewe
Kwahiyo ata kama umetumia kondomu bado inafanya kazi?
 
Ipo ila itachukua muda sana
Mmmh,,, hii inatisha sana, it's disaster indeed,

Mwisho mkuu,,, na je, mathalan akienda alafu akamkana kwamba hajamfanyia kitu?!

Maana sio rahisi mtu kukiri kumtendea mtu witchcraft or use of spells, black magic etc
 
Duuuh hawa jamaa ndo wana kila zana, unahangaika tu
 
Hahaha haha hahaha haha sa itakuaje
 
Taja hizo malighafi kama tunaweza changia
Maji ya gundu
Maji ya janaba bichi
Damu Chafu
Majani ya mkafiri
Nyota ya nuksi
Kinyesi cha popo/ngozi ya kinyonga
Mizizi ya mti chonganishi
 
Mshana mimi nahitaji sayansi ya Kiafrika ya kuwadhibiti wezi kuanzia shambani, kwenye mifugo hadi kwenye makaazi yangu
 
Mmmh,,, hii inatisha sana, it's disaster indeed,

Mwisho mkuu,,, na je, mathalan akienda alafu akamkana kwamba hajamfanyia kitu?!

Maana sio rahisi mtu kukiri kumtendea mtu witchcraft or use of spells, black magic etc
Kule kum face na kumwambia ukweli tayari ni one big step ahead ..anaweza kubisha pale lakini baadae atajifikiria sana
 
Damu au sio
Maji ya gundu
Maji ya janaba bichi
Damu Chafu
Majani ya mkafiri
Nyota ya nuksi
Kinyesi cha popo/ngozi ya kinyonga
Mizizi ya mti chonganishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…