Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,172
- 48,689
Ukitoka mshahara tushituane haraka.
Mimi nikiuona nitawashtua haraka iwezekanavyo
Mimi nikiuona nitawashtua haraka iwezekanavyo
Ksh kajah hagav haha kaa kwa kutulia.Tusio na mshahara sasa..![]()
Huwezi kuelewa coz huna mshahara..😂kiyunani?
Dah....unaishije bila mshahara?😳Tusio na mshahara sasa..![]()
Tunakomenti kwenye mvuaTusio na mshahara sasa..![]()
Vipi ushatoka nikimbilie kwa Wakala?Wakuu kumekucha
😂😂😂 nyakati za kuanza kuulizia salio zimefika, maana si kwa kuchoka huku!Utoke jamani tupate kuwadai wadeni wetu.
Hapa nimecopy kauli za hawa watani zangu Lupweko na mwenzake OKW BOBAN SUNZU. 🤣🤣 (ila nilicheka sana lol)