Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,095
- 122,457
Ila tutafika tu. 😂😂😂😂😂 nyakati za kuanza kuulizia salio zimefika, maana si kwa kuchoka huku!
Ila tutafika tu. 😂😂😂😂😂 nyakati za kuanza kuulizia salio zimefika, maana si kwa kuchoka huku!
Na kuna shule zingine hawapokei mtoto mpaka uwe umemaliza kiasi mlichoelewana.Kuna hii likizo ya Easter ambayo imeambatana na wanafunzi Kurudi shule!
Acha tu rafiki... wengine itabidi hii wiki wavute tu no way!Na kuna shule zingine hawapokei mtoto mpaka uwe umemaliza kiasi mlichoelewana.
Basi tunajikuta kuchanganyikiwa tu rafiki.
Hakika rafiki.Acha tu rafiki... wengine itabidi hii wiki wavute tu no way!