mnyepe
JF-Expert Member
- Dec 1, 2008
- 1,907
- 660
I don wan to immitate somebody's lyf,
if this is the case thn find your own life with 700000 net???
I don wan to immitate somebody's lyf,
Watoto wa siku hizi bana!
Hivi maisha dar kwa laki net yanaenda? ushauri plz,
dar kuwa na busara ndugu, am male.
safi sana mh. unafaa kuwa mwanajamii forum
mkuu punguza hasira. vijana wa cku hz hawajui lyf bado. hapo anawaza kupanga mikochen, iPhone, alteza na makorokocho kbao kwa lak 7 hyo. thus y anaona haitoshi..
duh ...... you must be smartnapata mshahara wa 75elfu kwa mwez, ila nimepanga,nina mke na watoto na nafanya malengo yng yanatimia ikiwa moja wapo nimeshanunua uwanja mbagala, je ningelipwa lak7 ningekuwa wapi?
napata mshahara wa 75elfu kwa mwez, ila nimepanga,nina mke na watoto na nafanya malengo yng yanatimia ikiwa moja wapo nimeshanunua uwanja mbagala, je ningelipwa lak7 ningekuwa wapi?
Pesa ni mipango
napata mshahara wa 75elfu kwa mwez, ila nimepanga,nina mke na watoto na nafanya malengo yng yanatimia ikiwa moja wapo nimeshanunua uwanja mbagala, je ningelipwa lak7 ningekuwa wapi?