Mshahara wa Tsh. 700'000/=, Dar es Salaam

Mshahara wa Tsh. 700'000/=, Dar es Salaam

Hivi maisha dar kwa laki net yanaenda? ushauri plz,


haitoshi kabisa:
pango laki 250 unabakiwa 450,000
chakula kila siku ukijibana elf 15x30=450,000 (imeisha)
Nauli elf 2x30=60,000
vocha ya kuingia jf 1000x30=30,000
vocha ya cheka kupigia yule dem unayemfukuzia 1000x30=30,000
beer mbili kila siku 2500x30=75,000
Pesa ya Guest kila wiki elf25x4=100,000
nauli ya dem wako kila wiki 20x4=80,000
chakula na vinywaji kila weekend elf40x4=160,000

Kumbuka ukiingia kazini utakuta wenzako tayari wana tu-Spacio, na wewe utazama benki kukoka, wanakuwa wanakula nusu ya mshahara, wakati huo unatakiwa utie mafuta kwenye gari!!!! kimbia vibaya usije mjini baki hukohuko kwa mjomba kula na kulala, huku watu mishahara yao wote inaanzia lau milioni mbili!
 
Kka wa elfu 75,, kma huna kitu kingine kinachokuinguzia kipato bhas utakua unaish maisha dun sana,,,
n nafikir ata nyumba ulopanga hata umeme haina,,

maisha dduni kwa mujibu wa nani?..mtu mwenye maisha duni anaingia jf?!!! anaishi maisha ya "kawaida".
 
hajakua huyu. unamtangazia nani mshahara wako ndg. huo ni ulimbukeni kwa kudhani kwamba kila anaeishi dar anapesa sana na maisha mazuri
 
mim nikipata laki 7 nitahakikisha naweka kila mwezi laki 3 .baada ya mwaka nina 3,600,000 nafungua biashara . baada ya mwaka nina faida then mwaka wa pili nimeshanunua kiwanja na kuanza kujenga .in 5 years nimejenga bonge la nyumba maana muda huo tayari nina ekar kama 10 za shamba mkuranga ambapo ekar inauzwa laki na nusu .ndani ya miaka kumi mim ni tajiri mkubwa wakati huo naanza kuangalia namna ya kuacha kazi na kutumia uzoefu na taaluma yangu kujiajiri .ninasema haya kwa uhakika kabisa nikiwa nimeanza ku practice kwa mshahara mdogo chini ya huo.wakati wewe unatafuta mahali pa kutomiza career objective wenzako tunatafuta pakutafuta capital kwa hiyo we serve more than than we spent .
 
.....wewe utakuwa ni mtoto wa kike mwenye tamaa
Mimi naishi town kwa mshahara wa 15000 tu wewe laki 7 unaona ndogo....!!!!!!!
 
Brother, kwani hiyo kazi unayofanya sasa hivi huko "remote" area ina mshahara mkubwa zaidi ya hiyo laki 7 au? Una sababu za msingi (kama kusoma, matibabu, biashara etc ) za kuiacha hiyo kazi huko remote area na kwenda Dar au unataka tu na wewe uwepo Dar? Sina experience sana ya Dar, ila AFAIK, Dar kuna watu wa grades tofauti tofauti, kuanzia wanaoingiza chini ya 1000Tsh per day hadi wanaoingiza 5Mil Tsh per hour, ila hatujawahi kusikia mtu kaanguka Ubungo kwa njaa. Wote wanaishi. Am sure kama una sababu ya msingi ya kwenda Dar kufanya hiyo kazi, kwa huo mshahara nenda, ila jiandae kwa changamoto mzee, fuata ushauri wa wadau waliosema Dar hawategemei mshahara tu, wana Plan B, C... Y na Z.
All the best.
 
Kama sio mlevi unatosha nakubaki

Anaweza asiwe mlevi wa hicho ulichokikusudia na akawa na mambo mengine mengi yakummalizia Pesa,

Nionavyo kitu kikubwa cha kufanya ni kuzikimbia anasa,hapo anaweza kufanya yauhakika.
 
Maisha duni unataja vitu visivyo vya Lazima Kama hela za , pombe,vocha za mademu zoote hiyo za nini tema?
 
haitoshi kabisa:
pango laki 250 unabakiwa 450,000
chakula kila siku ukijibana elf 15x30=450,000 (imeisha)
Nauli elf 2x30=60,000
vocha ya kuingia jf 1000x30=30,000
vocha ya cheka kupigia yule dem unayemfukuzia 1000x30=30,000
beer mbili kila siku 2500x30=75,000
Pesa ya Guest kila wiki elf25x4=100,000
nauli ya dem wako kila wiki 20x4=80,000
chakula na vinywaji kila weekend elf40x4=160,000

Kumbuka ukiingia kazini utakuta wenzako tayari wana tu-Spacio, na wewe utazama benki kukoka, wanakuwa wanakula nusu ya mshahara, wakati huo unatakiwa utie mafuta kwenye gari!!!! kimbia vibaya usije mjini baki hukohuko kwa mjomba kula na kulala, huku watu mishahara yao wote inaanzia lau milioni mbili!


Haya si maisha ya mtafutaji.. Mtafutaji uoange nyumba ya laki mbili? khaaaaa


acha kupotosha bhana
 
mim nikipata laki 7 nitahakikisha naweka kila mwezi laki 3 .baada ya mwaka nina 3,600,000 nafungua biashara . baada ya mwaka nina faida then mwaka wa pili nimeshanunua kiwanja na kuanza kujenga .in 5 years nimejenga bonge la nyumba maana muda huo tayari nina ekar kama 10 za shamba mkuranga ambapo ekar inauzwa laki na nusu .ndani ya miaka kumi mim ni tajiri mkubwa wakati huo naanza kuangalia namna ya kuacha kazi na kutumia uzoefu na taaluma yangu kujiajiri .ninasema haya kwa uhakika kabisa nikiwa nimeanza ku practice kwa mshahara mdogo chini ya huo.wakati wewe unatafuta mahali pa kutomiza career objective wenzako tunatafuta pakutafuta capital kwa hiyo we serve more than than we spent .

we piga soga tu, mipango si matumizi!
 
hahahhaa, we unaona kuna mtafutaji hapo? huyo anawaza starehe ngoja tumchanganye kidogo!
Avatar kama mhogo mchungu!!!

Hufai kabisa kutakwa ushauri wewe!! Yaani jamaa unamtajia mistarehe yote hiyo ya nini? Eti hela ya guest kila wiki, ya nini wakati amepanga? Chakula elfu 15, mtu mmoja? Hufai kabisaaaaaa!!
 
Inatosha na chenji inabaki.
~jitahidi ukae sehemu ambayo unapanda gari moja kwenda job
»800x22=17,600=/
~Mambo ya mlo
»Chai 500,mchana 2000 usiku 2000
»4500x30=135000/=
~Panga Chumba kimoja master
Kwa town assume 80,000/=
~Gharama za umeme
»30,000/=
~Gharama za maji
»Dumu la uhai 12ltr sh 4000 assume kwa siku unakunywa lita 2 that means kwa mwezi utahitaji dumu 5 total 20,000/=
»Maji ya kuoga/kufulia
Assume kwa siku unatumia dumu 3 @500 kwa mwezi 45,000

Mpaka sasa matumizi ni 327,600/= Roughly 400,000 kwa mwezi naungana jamaa aliyesema kwa fedha hiyo atakuwa anasave 300,000 kwa mwezi yes inawezekana! Hiyo ni kwa single hata kama una family ya atlst mtoto m1 mdogo hiyo fedha inatosha kabisa maana itabidi usiwe unakula magengeni inabidi wife apike,chumba kimoja hakifai inabidi uchukue chumba na sebule au vyumba viwili na sebule 150,000 hadi 200,000
Mchakato.
»Mkaa 1000
»Mafuta 200
»Unga 1000/mchele 1500
»Nazi 1000-1500
»Nyanya 1000
»Hoho/carrot 300/300
»Kitunguu 200
»Pampers 500 moja kwa siku 3(1500)
Total 8000x30=240,000
Kodi ya nyumba 150,000
Maji ya kunywa 40000
Maji ya matumizi 90000
Umeme 30000
Nauli 20000
Jumla kuu 570,000/= inabaki 130,000 (hiyo 130k utalipia 10k au 12.5k Pay Tv)
 
Avatar kama mhogo mchungu!!!

Hufai kabisa kutakwa ushauri wewe!! Yaani jamaa unamtajia mistarehe yote hiyo ya nini? Eti hela ya guest kila wiki, ya nini wakati amepanga? Chakula elfu 15, mtu mmoja? Hufai kabisaaaaaa!!

Hahaaa huyo anaitwa Freeway Rick Ross Original
1061638749_rr-23.jpg

Alikaa jela kuanzia 1996 mpaka 2009 kwa kosa la kufanya bizness ya ngada! Networth yake ilifikia $600m yani kwa sasa tungekuwa tunamlinganisha na bakhresa $900m ila baada ya kutoka jela utajiri wake kwa sasa ni $1m.
 
Avatar kama mhogo mchungu!!!

Hufai kabisa kutakwa ushauri wewe!! Yaani jamaa unamtajia mistarehe yote hiyo ya nini? Eti hela ya guest kila wiki, ya nini wakati amepanga? Chakula elfu 15, mtu mmoja? Hufai kabisaaaaaa!!

hahahahaa, hebu soma vizuri kwanza swali la mleta mada: "hivi kwa laki saba dara maisha yanakwenda?", kana kwamba kila mtu dar ana kipato cha zaidi ya laki saba kwa mwezi!!!...asije kabisa mjini, atachukuliwa demu na muuza maji ajinyonge bure (muuza maji analaza kiwango cha chini elf 50 kwa siku...bwahahahha)!
 
Inatosha na chenji inabaki.
~jitahidi ukae sehemu ambayo unapanda gari moja kwenda job
»800x22=17,600=/
~Mambo ya mlo
»Chai 500,mchana 2000 usiku 2000
»4500x30=135000/=
~Panga Chumba kimoja master
Kwa town assume 80,000/=
~Gharama za umeme
»30,000/=
~Gharama za maji
»Dumu la uhai 12ltr sh 4000 assume kwa siku unakunywa lita 2 that means kwa mwezi utahitaji dumu 5 total 20,000/=
»Maji ya kuoga/kufulia
Assume kwa siku unatumia dumu 3 @500 kwa mwezi 45,000

Mpaka sasa matumizi ni 327,600/= Roughly 400,000 kwa mwezi naungana jamaa aliyesema kwa fedha hiyo atakuwa anasave 300,000 kwa mwezi yes inawezekana! Hiyo ni kwa single hata kama una family ya atlst mtoto m1 mdogo hiyo fedha inatosha kabisa maana itabidi usiwe unakula magengeni inabidi wife apike,chumba kimoja hakifai inabidi uchukue chumba na sebule au vyumba viwili na sebule 150,000 hadi 200,000
Mchakato.
»Mkaa 1000
»Mafuta 200
»Unga 1000/mchele 1500
»Nazi 1000-1500
»Nyanya 1000
»Hoho/carrot 300/300
»Kitunguu 200
»Pampers 500 moja kwa siku 3(1500)
Total 8000x30=240,000
Kodi ya nyumba 150,000
Maji ya kunywa 40000
Maji ya matumizi 90000
Umeme 30000
Nauli 20000
Jumla kuu 570,000/= inabaki 130,000 (hiyo 130k utalipia 10k au 12.5k Pay Tv)

Unampoteza kijana wetu asije mjini atapigwa free p!
-kwanza chumba cha elf80 mjini atapata wapi?!! labda kwenye ufukwe wa ziwa mwananyamala!
-Umempigia mambo yoote, haumwi?
-hanywi hata soda?!
-hahongi, atapata wapi free p?, hata pale milango mingi kwa wahaya sku hizi hawachukui buku!
-hajipaki mafuta? hanunui sabuni? hang'arishi viatu?
-Hanunui nguo za kumnadhifisha kazini?
 
Back
Top Bottom