Kwa msisi yetu
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 812
- 1,388
Bado
Hahahaaa. We ni balaa aisee.Nipo Micasa hapa naubariki mshahara.
Nakumbuka nikiwa chuo bum likiingia siwezi kusoma kabisa. Ikibaki laki 1 au 50 hivi hapo utanipenda. Discussion zote, vipindi vyote na prepo naenda.
Same hadi sahivi, mzigo ukiingia nakua mzembe kazini hadi ukate.
Wale ambao mishahara haikutani ndio inawahusu hii.
_____________________________
" With or without religion, good people can behave well and bad people can do evil; but for good people to do evil - that takes religion.
Mikusanyiko imekatazwa hawasikii.Ndio maana nimeona foleni imeanza ku ' build up' kwenye tawi la NMB!
Kifuatacho ntakupeleka kwa MakondaMimi sijachukua huo mshahara tangu mwezi wa kwanza mdada
Wenye mishahara hongereni sanaWapendwa mshahara umetoka nendeni mkachote hela mje mlipe madeni ya maji, na vibanda vya chakula.
Msisahau nauli za watoto kurudi shule maana tar..17 imekaa kushoto.
Kwani matumizi ya mtoto sitoi mama?Kifuatacho ntakupeleka kwa Makonda
Hahahaa, yaani pesa ya madafu ni shida.. kwa mwezi 850K inaisha hivi hivi na hapo hakuna bia.Last time mshahara kukutana ilikua ninavo anza kazi. Aisee niliona mshahara mkubwa kinoma nikasema after miezi 3 nanunua bodaboda ya biashara, home kijijini naanza kujenga, nakumbuka mzigo ulipoingia wa kwanza nikawatumia home woote kila mtu nikamtoa kuanzia elfu 20 hadi 50 aisee nilikula baraka nyingi sana.
Kilichofuata Mungu ndio anajua. Mshahara kufika tarehe 10 ni muujiza.
Hapo mtu hujaoa, huna mtoto, husomeshi mdogo wako wala huishi na mtu.
Sijui kuna nini?

_______________Hongera zao wanaopokea mishahara
Dah 😀😀😀Nipo Micasa hapa naubariki mshahara.
Nakumbuka nikiwa chuo bum likiingia siwezi kusoma kabisa. Ikibaki laki 1 au 50 hivi hapo utanipenda. Discussion zote, vipindi vyote na prepo naenda.
Same hadi sahivi, mzigo ukiingia nakua mzembe kazini hadi ukate.