ni kweli mpaka sasa balance zina 2,011.09
duu sijui nitafika vp hiyo tarehe 5; nimesha kopa sana na wengingine nimewaahidi leo nitawapelekea hela zao na sijui nani atanielewa nikisema mshahara bado kwa sababu mara zote nimekuwa nikopa nakuwalipa tarehe 26.
Nafikiria jinsi ya kuandika dokezo la uongo aka kufisadisha ofisini kama bosi ataelewa (samahani watanzania wenzangu sina jinsi)
Kwa serikali dhaifu kama ya Kikwete hii ni fursa ya kujifanya anaweza
Mkuu, kupata 'pay roll' ni jambo moja na kupata mshiko ni jambo jingine, upooooooooooo!We muongo huku kwetu pay roll zishakuja.
vipi watalipa mshahara mpya au ndiyo mpaka obama aondoke maana watakuwa busy na mapokezi.
We muongo huku kwetu pay roll zishakuja.
Taarifa za kuaminika kutoka hazina zina eleza kuwa kwa wafanyakazi wa serikali kama haujapata mshahara mpaka leo tar 26/6 basi uwezekano wa kucheleweshewa mshahara hadi tar 5/7 ni mkubwa sana,kwahiyo mnaombwa kuwa wavumilivu
Natamani mishahara itoke tarehe 20 july ndio akili zitakaa sawa kwa watumishi wa umma mkiambiwa ccm ni janga hamsikii
We muongo huku kwetu pay roll zishakuja.
We muongo huku kwetu pay roll zishakuja.
Mbona mimi nshalewa hapa mshahara umeingia toka asubuhi?
Kama ni kweli, bila shaka mishahara inatumika kwenye maandalizi ya kumpokea Obama....
Nikopeshe japo tulaki tunne best .... unajua tena sisi walimu ndo itakuwa balaa marambili...
'weka picha...'