Natamani mishahara itoke tarehe 20 july ndio akili zitakaa sawa kwa watumishi wa umma mkiambiwa ccm ni janga hamsikii
mi mbona leo ngoma imeingia kwenye account?
ni kweli mpaka sasa balance zina 2,011.09
duu sijui nitafika vp hiyo tarehe 5; nimesha kopa sana na wengingine nimewaahidi leo nitawapelekea hela zao na sijui nani atanielewa nikisema mshahara bado kwa sababu mara zote nimekuwa nikopa nakuwalipa tarehe 26.
Nafikiria jinsi ya kuandika dokezo la uongo aka kufisadisha ofisini kama bosi ataelewa (samahani watanzania wenzangu sina jinsi)
'weka picha...'
Kichwa Ngumu mi napiga vita sana hayo maisha, ya kusubiri mishahara au safari ya kazini, jifunze kuanzisha kitu chako, hata kama unapata kidogo itakupunguzia makali ya nauli.
dr upo serikali kuu au tamisemi?
Mimi nimetoka kuangalia salio, sh.1420. 86/
unawafundisha watu kuiba ela za umma.
huo mtaji wa kuku unautoa wapi? na je kuwahudumia hao kuku? mshahara wenyewe kcc, na matumizi ni mengi, hapo hata hilo wazo la kufuga kuku litakuja kweli ndugu?kujiajiri ni kuiba hela za umma?au hujaelewa? ukiwa umefuga kuku nyumbani unakuwa umeibaje mali ya umma?
huo mtaji wa kuku unautoa wapi? na je kuwahudumia hao kuku? mshahara wenyewe kcc, na matumizi ni mengi, hapo hata hilo wazo la kufuga kuku litakuja kweli ndugu?
hela za kuchangia arusi na send off unapata za kufugia? kuundoa umaskini kunaanza kwanza na wazo, siyo hela. ufikiri wako una sehemu kubwa sana kwenye mafanikio yako.
usishtue watu mishahara iko tayari