ni kweli mkuu! hata siyatetei ni ma actress tu mpaka fikra. halafu ukiyaona unaweza sema yako vizuri kiakili lakini uyakute mahali yanaongea halafu hayajakuona utachefukwa na roho. ni bora wale walio mtaani wenye elimu zao kiasi wakiwezeshwa mtaji wanakuwa wazuri kuliko hawa walioko maofisini, wengi mapichapicha tu!1.Nguo
2.cosmetics
3.kwao
Kwa wale ndugu zangu mnaooa mtu si kwa sababu ya kumpenda bali kazi yake mtaishia kufa kwa presha na kufunja ndoa, wanawake pesa yao ina macho.
Nawambia nyie wanaume wavivu mnaotafuta mtelezeo.
1.Nguo
2.cosmetics
3.kwao
Kwa wale ndugu zangu mnaooa mtu si kwa sababu ya kumpenda bali kazi yake mtaishia kufa kwa presha na kufunja ndoa, wanawake pesa yao ina macho.
Nawambia nyie wanaume wavivu mnaotafuta mtelezeo.
wale ni wanawake kwa jinsia ila ni wanaume kifikra! si nyie mpaka ped unataka ununuliwe na kazi unayo....schwine kabisa!Oprah ni mwanamme? Angela Markel ni mwanamme? Getrude Rwwakatare ni mwanamme?
Tupishe na stress zako.
kifupi sasa hivi tunapeleka fursa kwa wanawake wenye elimu ndogo na upeo na uvumilivu mkubwa wa maisha na wasio na maisha ya ku-copy kwenye tamthilia na ku-paste kwenye maisha yao. Hawa wenye kazi waoane na wanawake wenzao au wawe michepuko ya wenye kiu, kuoa NO!Yaani mkuu mijanaume ya siku inawaza kuoa mwamke mwenye kazi ili isaidiwe maisha. Ndiyo maana ndoa hazidumu wanapokuta mambo ndivyo sivyo. Mwanaume wenye mawazo ya hivyo nya..m,b..a..f kabisa halafu eti linataka liheshimike
Mkuu heshima yako, upo sahihi kabisa, huo ndio ukweli wa wanawake wengi, ukipigia mahesabu kipato cha mwanamke andika umeumia, nimeshuhudia wanawake wengi wanafanya kazi ila mpaka hela ya chumvi/kiberiti wanawaomba waume zao.1.Nguo
2.cosmetics
3.kwao
Kwa wale ndugu zangu mnaooa mtu si kwa sababu ya kumpenda bali kazi yake mtaishia kufa kwa presha na kufunja ndoa, wanawake pesa yao ina macho.
Nawambia nyie wanaume wavivu mnaotafuta mtelezeo.
Acha kututusi baña kwahiyo sisi tunawaza nguo tu na vipodoz hatuna mawazo ya kimaendeleo........
Oprah ni mwanamme? Angela Markel ni mwanamme? Getrude Rwwakatare ni mwanamme?
Tupishe na stress zako.
wale ni wanawake kwa jinsia ila ni wanaume kifikra! si nyie mpaka ped unataka ununuliwe na kazi unayo....schwine kabisa!
mnataka kuoa au kuajiri!?
unaweza kuita ni dharau but you all brought that thing...isingekuwa you guyz mmemua kuwa wazembe wa kila kitu hata vilivyovidogo saa ngapi mngedharaulika?inaonyesha wewe ni bahili kwani kumu nunulia ni kosa una sema hadi pedi acha dharau
unaweza kuita ni dharau but you all brought that thing...isingekuwa you guyz mmemua kuwa wazembe wa kila kitu hata vilivyovidogo saa ngapi mngedharaulika?
halafu you never want kukubali and learn and move one, all that you are good at ni kukimbilia ku-attack na kusema tunawadharau mara...the more we know about you..the more we find it is something to exploit and off we go! ladiesa we say it for your own good and kurudisha that respect you had before!