UKISHAJUA ????!!!!!Mimi si mwalimu. Naulizia mshahara wa mwalimu serikalini
Si vyema kutaka kujua kila kitu umeshabishana sana vijiweni hukupata jibu sasa ya nn yote hioMimi si mwalimu. Naulizia mshahara wa mwalimu serikalini
Jamani muwe na busara basi, huyu jamaa kauliza swali ambalo majibu yake ni hayo uliotoa au unajifafanua jinsi ulivyo mjinga katika wajinga!!, siku zote jibu swali uliloulizwa, huna jibu kaa kimya sawa!una elimu gani? mwalimu wa serkali au wa binafsi? binafsi ya koromije au binafsi ya feza? binafsi ya feza au binafsi ya st. constantine, tanganyika, kilimanjaro, brebun?
Kama wasomi Wa Tanzania ndio Wa namna kama yako basi tenaLaki kumi
Mkuu mimi si mtu wa vijiwe wala mabishano yasiyo na mantiki.Nina sababu yangu ya kuuliza, anayejua anajibu asiyejua basi anaacha. Source yangu kuu ya info ni jfSi vyema kutaka kujua kila kitu umeshabishana sana vijiweni hukupata jibu sasa ya nn yote hio
so sadDegree 716000 ila inayoingia kwa akaunti ni 445000 .. Nusu ya mshahara hurudi ulikoingilia
Yaani mkuu watu wana hasira, wanakosa pa kuzituaJamani muwe na busara basi, huyu jamaa kauliza swali ambalo majibu yake ni hayo uliotoa au unajifafanua jinsi ulivyo mjinga katika wajinga!!, siku zote jibu swali uliloulizwa, huna jibu kaa kimya sawa!
Haya kula utawala kwa kujua maisha ya wenzako tu Eti mshahAra wa mwalimuYaani mkuu watu wana hasira, wanakopa pa kuzitua