Ibilisi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,465
- 5,586
- Thread starter
- #61
Ndio, deals haziwezi kuisha kama maslahi ya watumishi ni mabovu. Na uchapaji wa kazi pia unakuwa ni ndoto. Tutaishia kuongea tu kwamba madili sasa hakuna na utendaji wa kazi upo juu ila kiuhalisia ni kwamba tunajidanganya tuIla nchi zingine zilizofanikiwa kupambana na rushwa zili hakikisha maslahi ya watumishi yapo vizuri sasa laki nne inamtosha nini mtumishi kama sio kumshawishi kutafuta deal zingine