Ongeza 15% Ya HESLBKodi 12%
CWT 3%
PSPF 5%
NIHF 3%
Ongeza 15% Ya HESLBKodi 12%
CWT 3%
PSPF 5%
NIHF 3%
CWT ni 2% bima ya afya 3% na PSPF 5% Makato haya matatu pekee yanachukua 10% ya mshaharaKodi 12%
CWT 3%
PSPF 5%
NIHF 3%
Degree 716000 ila inayoingia kwa akaunti ni 445000 .. Nusu ya mshahara hurudi ulikoingilia

Degree 716000 ila inayoingia kwa akaunti ni 445000 .. Nusu ya mshahara hurudi ulikoingilia

Kwa Zambia huku ni USD 450 bila kusahau allowances kibaoWakuu naomba kujua kiwango cha mshahara wa mwalimu wa shule ya msingi anayeanza kazi na wa mwalimu wa sekondari anayeanza pia kwa sasa.
Hawa watu wana makato mengi mno aiseeDegree 716000 ila inayoingia kwa akaunti ni 445000 .. Nusu ya mshahara hurudi ulikoingilia
Duh! Yote hayo makato!?
huo ni mshahara au sitting allowance?Degree 716000 ila inayoingia kwa akaunti ni 445000 .. Nusu ya mshahara hurudi ulikoingilia
Ya Ngoswe muachie NgosweHapana mimi si mwalimu
Ila nchi zingine zilizofanikiwa kupambana na rushwa zili hakikisha maslahi ya watumishi yapo vizuri sasa laki nne inamtosha nini mtumishi kama sio kumshawishi kutafuta deal zingineNdio maana vilio vya mishahara kwa watumishi haviishi mkuu
Kura ri raiki Muraaaaaa!!Ukitaka kujua mshahara wa mwalimu nenda kasomee ualimu...utakachokuwa unalipwa huo ndo mshahara wa mwalimu
Napendaga sana mazwazwa kama nyinyi mnao tukana watu alafu mkitegemea na wao wakae kimya kwa kuzani ninyi mnajua sana fala wewe...Jamani muwe na busara basi, huyu jamaa kauliza swali ambalo majibu yake ni hayo uliotoa au unajifafanua jinsi ulivyo mjinga katika wajinga!!, siku zote jibu swali uliloulizwa, huna jibu kaa kimya sawa!
sasa nazani utakuwa umetambua kuwa swali lako bado lina maswali kibao... ukiulizwa ili watu wapate ufafanuzi una zingua zingua....Duh Kumbe kuna majirani zetu wapo vizuri namna hiyo! Hii nchi yetu bado sana
Duh Kumbe kuna majirani zetu wapo vizuri namna hiyo! Hii nchi yetu bado sana