Mshahara wa mtu mwenye master degreee......msaada plse!

NGOSWE.120

JF-Expert Member
Jul 9, 2011
219
233
Waheshimiwa wana JF,

Kwa yeyote anayefahamu naomba anifahamishe hili jambo:

1.Ukiwa mwajiriwa wa serikali kwa level ya bachelor degree(B.Ed) as Education officer II, then ukapata promotion ya kuwa Education Officer I (I mean baada ya kufanya kazi kwa miaka 3), na baadae ukajiendeleza kimasomo na hatimaye kuwa na Master degree on the similar field/education:-

(a) JE KWA SHERIA ZA KAZI ZA UTUMISHI SERIKALINI/ UALIMU NI DARAJA GANI NINASTAHILI KUPANDISHWA?(Promotion) mfano: TGTSF? TGTSG? au TGTSH?

(b) Kutokana na sheria za utumishi serikalini, ni kiasi gani cha mshahara huwa anaanza kulipwa mfanyakazi mwenye elimu ya UZAMILI (Master degree), I mean kianzio cha mshahara - basic salary? huku ukitambua kuwa wa bachelor degree anaanza na TGSD1 au TGTSD1 kwa ngazi ya shahada (bachelor) , je vipi kuhusu wa master degree?

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wanaJF.
 
Waheshimiwa wana JF,

Kwa yeyote anayefahamu naomba anifahamishe hili jambo:

1.Ukiwa mwajiriwa wa serikali kwa level ya bachelor degree(B.Ed) as Education officer II, then ukapata promotion ya kuwa Education Officer I (I mean baada ya kufanya kazi kwa miaka 3), na baadae ukajiendeleza kimasomo na hatimaye kuwa na Master degree on the similar field/education:-

(a) JE KWA SHERIA ZA KAZI ZA UTUMISHI SERIKALINI/ UALIMU NI DARAJA GANI NINASTAHILI KUPANDISHWA?(Promotion) mfano: TGTSF? TGTSG? au TGTSH?

(b) Kutokana na sheria za utumishi serikalini, ni kiasi gani cha mshahara huwa anaanza kulipwa mfanyakazi mwenye elimu ya UZAMILI (Master degree), I mean kianzio cha mshahara - basic salary? huku ukitambua kuwa wa bachelor degree anaanza na TGSD1 au TGTSD1 kwa ngazi ya shahada (bachelor) , je vipi kuhusu wa master degree?

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wanaJF.

Ukimaliza level ya Masters unaongeezewa increment 2 tu, yaani ongeza 9000 mara mbili kwenye basic salary yako unayopata kutokana na Bachelor. Katika utumishi wa kawaida wa serikali ukiondoa vyuo vikuu, Masters degree ina faida baada ya miak 12 ambapo utapanda hadi TGTS H. Aidha itakuwezesha pia kuteuliwa kushika nafasi kama vile Afisa Elimu (W), Mkoa na/ au Ukurugenzi wizara au ukuu wa idara nyingine serikalini. Hakuna sheria au kawaida ya kupandishwa daraja baada ya kusoma Masters. That's all
 
Ukimaliza level ya Masters unaongeezewa increment 2 tu, yaani ongeza 9000 mara mbili kwenye basic salary yako unayopata kutokana na Bachelor. Katika utumishi wa kawaida wa serikali ukiondoa vyuo vikuu, Masters degree ina faida baada ya miak 12 ambapo utapanda hadi TGTS H. Aidha itakuwezesha pia kuteuliwa kushika nafasi kama vile Afisa Elimu (W), Mkoa na/ au Ukurugenzi wizara au ukuu wa idara nyingine serikalini. Hakuna sheria au kawaida ya kupandishwa daraja baada ya kusoma Masters. That's all
umemjibu kwa usahihi sana. Unaelewa vizuri haya mambo. Good.
 
nenda cwt kwa ufafanuzi wa kina.kumbuka kuandika lesson plan,scheme of work na kijaza log book.pia tumia participatory method kufundisha.mwalimu ni nguzo ya taifa.
 
Ukimaliza level ya Masters unaongeezewa increment 2 tu, yaani ongeza 9000 mara mbili kwenye basic salary yako unayopata kutokana na Bachelor. Katika utumishi wa kawaida wa serikali ukiondoa vyuo vikuu, Masters degree ina faida baada ya miak 12 ambapo utapanda hadi TGTS H. Aidha itakuwezesha pia kuteuliwa kushika nafasi kama vile Afisa Elimu (W), Mkoa na/ au Ukurugenzi wizara au ukuu wa idara nyingine serikalini. Hakuna sheria au kawaida ya kupandishwa daraja baada ya kusoma Masters. That's all

Nakushukuru sana mkuu kwa ufafanuzi wako. Yaani umeeleza kisomi saaana na nimekuelewa vizuri sana! ASANTE!
 
Ukimaliza level ya Masters unaongeezewa increment 2 tu, yaani ongeza 9000 mara mbili kwenye basic salary yako unayopata kutokana na Bachelor. Katika utumishi wa kawaida wa serikali ukiondoa vyuo vikuu, Masters degree ina faida baada ya miak 12 ambapo utapanda hadi TGTS H. Aidha itakuwezesha pia kuteuliwa kushika nafasi kama vile Afisa Elimu (W), Mkoa na/ au Ukurugenzi wizara au ukuu wa idara nyingine serikalini. Hakuna sheria au kawaida ya kupandishwa daraja baada ya kusoma Masters. That's all

inaweza kukuchukua hadi miaka mitatu ndo ukapandishiwa hizo increment 2. Hii Idara ya Elimu sielewi kabisa mambo yake inavyofanya.
 
duh! ndugu zangu waalimu poleni sana.

Kweli, walimu poleni sana, lakini ninyi nd'o nguzo ya Taifa.
Ninawashukuru sana walimu wangu wote walionifundisha, kwani wamefanikisha katika kunifikisha mahali nilipo. Wamenipatia mwangaza wa namna ya kufanya mambo yangu yawe kama ninayoyataka.
Nilianza kwa kuajiriwa, na sasa nami nimeanza kuajri (nimemwajiri housegirl) - tunagawana naye kamshahara kangu; baadaye kama miaka 50 ijayo, nitakapokuwa na umri upatao miaka 85 nikipata kiinua mgongo (pension) natarajia kuajiri watu wengine katika kazi zangu binafsi ambazo nitazianzia mara tu nitakapopata kiinua mgongo!

Sijui objective yangu ni Specific, Measurable, Achievable, Realistic na Time bound (SMART)? Nina mashaka sana na ART!!!!!
 
Kweli, walimu poleni sana, lakini ninyi nd'o nguzo ya Taifa. Ninawashukuru sana walimu wangu wote walionifundisha, kwani wamefanikisha katika kunifikisha mahali nilipo. Wamenipatia mwangaza wa namna ya kufanya mambo yangu yawe kama ninayoyataka.Nilianza kwa kuajiriwa, na sasa nami nimeanza kuajri (nimemwajiri housegirl) - tunagawana naye kamshahara kangu; baadaye kama miaka 50 ijayo, nitakapokuwa na umri upatao miaka 85 nikipata kiinua mgongo (pension) natarajia kuajiri watu wengine katika kazi zangu binafsi ambazo nitazianzia mara tu nitakapopata kiinua mgongo!Sijui objective yangu ni Specific, Measurable, Achievable, Realistic na Time bound (SMART)? Nina mashaka sana na ART!!!!!
umenifuraïsha sana.
 
Njia pekee ya kuondokana na haya yote ni kuintroduce pay for perfomance, lakini entry level ya kila job family iwe pre determined and agreed to, as u may have masters or PHD but ur job requires only a form six's IQ...ila kama kazini kuna ladders ambazo haziangalii umekaa miaka mingapi but ur output unapanda haraka..mfumo huu niliuanzisha pahala...ulileta redundancies nyingi na kuongeza productivity
 
Ukimaliza level ya Masters unaongeezewa increment 2 tu, yaani ongeza 9000 mara mbili kwenye basic salary yako unayopata kutokana na Bachelor. Katika utumishi wa kawaida wa serikali ukiondoa vyuo vikuu, Masters degree ina faida baada ya miak 12 ambapo utapanda hadi TGTS H. Aidha itakuwezesha pia kuteuliwa kushika nafasi kama vile Afisa Elimu (W), Mkoa na/ au Ukurugenzi wizara au ukuu wa idara nyingine serikalini. Hakuna sheria au kawaida ya kupandishwa daraja baada ya kusoma Masters. That's all

Mie niombe hivyo viwango vya hiyo mishahara ya serikali!! Natanguliza shukrani!!
 
Njia pekee ya kuondokana na haya yote ni kuintroduce pay for perfomance, lakini entry level ya kila job family iwe pre determined and agreed to, as u may have masters or PHD but ur job requires only a form six's IQ...ila kama kazini kuna ladders ambazo haziangalii umekaa miaka mingapi but ur output unapanda haraka..mfumo huu niliuanzisha pahala...ulileta redundancies nyingi na kuongeza productivity

Heri huko kwenye hayo mambo ambako am certain ni sehemu chache sana hapa tz!!! Niliwahi fanya kazi sehemu na kuifanya ile kazi kama yangu binafsi au ya baba angu!!! ajabu, wazembe kuliko wote ndio walikuwa wanapata promotion na mie kuwa ngazi!! Na hata pale nilipouliza "for how long" ningekuwa kwenye similar position wakati nilishakuwa pale for 5 years na kuachwa na waliokuwa pale for less than 3 years, but most important hawakuwa lolote wala chochote; matoke yake ikabidi nishikishwe adabu!!!
 
Heri huko kwenye hayo mambo ambako am certain ni sehemu chache sana hapa tz!!! Niliwahi fanya kazi sehemu na kuifanya ile kazi kama yangu binafsi au ya baba angu!!! ajabu, wazembe kuliko wote ndio walikuwa wanapata promotion na mie kuwa ngazi!! Na hata pale nilipouliza "for how long" ningekuwa kwenye similar position wakati nilishakuwa pale for 5 years na kuachwa na waliokuwa pale for less than 3 years, but most important hawakuwa lolote wala chochote; matoke yake ikabidi nishikishwe adabu!!!

Hii ni sababu mojawapo kati ya sababu kuu zilizonifanya kusepa toka serikalini. In the government there is no ownership, no team work, no committment to work, no accountability, no appreciation, no fair evaluation, hakuna vitendea kazi vinavyotakiwa vya kutosha n.k, n.k.
Kwa sasa kama hiki ninachokifanya kikifikia mwisho na hakuna kazi kiingine kama hapa nilipo BORA NIKALIME MPUNGA IFAKARA au hata kilimo cha kumwagilia cha mbogamboga na matunda ktk mito na mabonde yetu mazuri.
 
Hii ni sababu mojawapo kati ya sababu kuu zilizonifanya kusepa toka serikalini. In the government there is no ownership, no team work, no committment to work, no accountability, no appreciation, no fair evaluation, hakuna vitendea kazi vinavyotakiwa vya kutosha n.k, n.k.
Kwa sasa kama hiki ninachokifanya kikifikia mwisho na hakuna kazi kiingine kama hapa nilipo BORA NIKALIME MPUNGA IFAKARA au hata kilimo cha kumwagilia cha mbogamboga na matunda ktk mito na mabonde yetu mazuri.

Aisee una maanisha wanaolima wamekosa cha kufanya?
Ngoja nikwambie Kaka Mkubwa, Kilimo ukikipatia ni zaidi ya hicho unachofanya sasa!
Kumbuka hapa unaongea na watu wa aina zote wakulima pia tupo eeheee na sio kwamba tumekosa cha kufanya just priorities!!
 
Ukimaliza level ya Masters unaongeezewa increment 2 tu, yaani ongeza 9000 mara mbili kwenye basic salary yako unayopata kutokana na Bachelor. Katika utumishi wa kawaida wa serikali ukiondoa vyuo vikuu, Masters degree ina faida baada ya miak 12 ambapo utapanda hadi TGTS H. Aidha itakuwezesha pia kuteuliwa kushika nafasi kama vile Afisa Elimu (W), Mkoa na/ au Ukurugenzi wizara au ukuu wa idara nyingine serikalini. Hakuna sheria au kawaida ya kupandishwa daraja baada ya kusoma Masters. That's all
umejibu sawasawa na matakwa ya sheria. wengi hawpendi kupokea ukweli huo
 
  • Thanks
Reactions: SG8
Aisee una maanisha wanaolima wamekosa cha kufanya?
Ngoja nikwambie Kaka Mkubwa, Kilimo ukikipatia ni zaidi ya hicho unachofanya sasa!
Kumbuka hapa unaongea na watu wa aina zote wakulima pia tupo eeheee na sio kwamba tumekosa cha kufanya just priorities!!

Ooh, labda sijaeleweka au hujanielewa!
Nimesema hivyo kumaanisha KILIMO NI BORA KULIKO HATA KUFANYA KAZI ZA KUAJIRIWA (na hasa kazi za serikalini, labda uwe fisadi!)
 
inaweza kukuchukua hadi miaka mitatu ndo ukapandishiwa hizo increment 2. Hii Idara ya Elimu sielewi kabisa mambo yake inavyofanya.
Kwa kawaida inatakiwa uongezewe hiyo incrememt mara unapopeleka transcript. Miaka mitatu utakuwa unaenda daraja lingine
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom