Ningependa kufahamishwa kima cha mshahara kwa fani ya makatibu muhtasi
iwe sekta ya umma na private.natanguliza shukran zangu
Ningependa unifafanulie ndugu yangu hyo TGS C inanzia kias gani kaka?
kwa upande wa ajira za utumishi wa umma kama una Dip, salary scale ni TGSC1 ambapo gross salary ni TSh. 351,200 lakini kama ni Cert, salary scale ni TGSB1 ambayo gross salary ni TSh. 251,200. Je, kuna swali ingine?????