Mshahara wa July 2019 vipi?

Mshahara wa July 2019 vipi?

Mwezi uliopita (June) 2019 salary imetika tarehe 19.Kesho ni mwisho wa mwezi tujonge ITM mapema.
Nafikiri waliwaihisha ada za Watoto miezi ya sita na Saba ,December January kwa wafanyakazi ni crucial Sana.Biashara huwa hazichangamki Sana ambazo haziko related na mambo ya elimu sababu Mashule mengi ya chekechea ,primary na secondary ambao ndio majority ya wanafunzi huwa wanaanza mihula na wazazi wengi huhitaji Ada na mahitaji ya wanafunzi
 
Bila shaka ww umeingia kazini kwa mgongo wa dada au baba kakuweka
 
Nafikiri waliwaihisha ada za Watoto miezi ya sita na Saba ,December January kwa wafanyakazi ni crucial Sana.Biashara huwa hazichangamki Sana ambazo haziko related na mambo ya elimu sababu Mashule mengi ya chekechea ,primary na secondary ambao ndio majority ya wanafunzi huwa wanaanza mihula na wazazi wengi huhitaji Ada na mahitaji ya wanafunzi
You have a positive thinking lakini such a thing never happens in a dictatorial regime! Kama regime imeshindwa kuwapa haki yao ya kupandishwa mishahara which is statutory, sembuse hili la ada ambalo ni hisani na hiari ya mtu mmoja, NEVER! Usitake kuwaremba, hawa ni wauaji wakuu ever in East Africa next to Idd Amin!
 
kweli ndugu slim5,mm nakerekaga kila mtu akizungumzia salary mijitu povu honestly uwa inanikata sana ujue hata mm ni mtumishi aisee kwani huo mshahara analipwa bure si amefanya kazi hizi shobo tuzipunguze za kishamba sana
Kuajiriwa nao ujasiriamali, maana bila kufanya michakato ya kueleweka hakuna mtu atakuajiri
 
Haya maisha ya kusubiri tarehe ni aina moja wapo ya utumwa.
Kila mtu kujiajiri inawekana kwenye society ya ujima tu. Kila mtu na kishamba akizalisha chakutosha kwa yeye na familia yake. The moment unaanza kuajiri mwingine ili kukidhi mahitaji ya nguvukazi, basi maana yake ni kwamba haiwezekani kila mtu akajiajiri.
Hivi hujiulizi kwa mfano, kama kila mtu atamiliki daladala, nani atakuwa dereva na konda?
Kama kila dada atakuwa mama lishe, nani atakuwa msaidizi wa mwenzie?
Society lazima iwe na waajiriwa wengi.
 
Back
Top Bottom