Mshahara wa dhambi ni Mauti!

Mshahara wa dhambi ni Mauti!

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
17,183
Reaction score
26,553
Mungu akiombwa uende Mbinguni[Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi], Alah "miungu" ampunguzie adhabu ya kaburi, hivi huwa anasikia na anafuata matakwa yenu?
u.jpeg
 
Tangu enzi za Manabii wa kale, watu walitumia mvinyo kuburudika

Useme hakukuwa na klabu kama ilivyo sasa, zingekwepo huenda tungepewa simulizi ya baadhi ya mitume wetu kupigwa chupa na kuuawa kama huyo binti

Apumzike kwa amani mlipa Kodi mwenzetu
Mvinyo ni nzuri burudika, Hata Yesu alipandishwa kwenye kilima akaambiwa mji wote anao uona akimsujudia Shetani utakuwa wake!
 
kwa kweli sisi zetu ni dua tu
Sisi tujiombee tuwe na mwisho mwema siyo!!

Kwamba tusijidanganye kutenda maovu tunafia dhambini alafu "walevi wenzetu wananza kumpangia Mungu pa kupumzisha, kwa kazi gani tulofanya? Kuna watu wanafia Sudan na Iraq qKIHUBIRI, WEWE UNAFIA BAA MNATAKA WOTE MPUMZISHWE SAWA?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom