Majaribu2013
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 952
- 1,050
Leo nimeamua kuwaletea huu uhalisia.
Bila shaka tunawajua dada zetu wanaotumika katika Bar mbalimbali maarufu na zile zisizo maarufu. Ulishawahi kujiuliza wanalipwa kiasi gani?
Juzi nilikuwa naongea na mwenye Bar hapa Dar akasema ni makubalino kabisa huwekwa kwamba atalipwa kwa siku kiasi cha sh 1500/= na kipato kingine ataongeza kwa kupat bwana.
Barmaid yeyote hawezi kumkataa mwanaume na kwa namna hiyo wanaingiza kati ya tshs 10,000/= hadi 100,000/= kwa siku kutegemeana na uzuri wake na kumfanya kuwa na mshahara usiopungua laki 3 kwa mwezi.
Siyo u.ke tena bali ni pubiliki toileti.
Bila shaka tunawajua dada zetu wanaotumika katika Bar mbalimbali maarufu na zile zisizo maarufu. Ulishawahi kujiuliza wanalipwa kiasi gani?
Juzi nilikuwa naongea na mwenye Bar hapa Dar akasema ni makubalino kabisa huwekwa kwamba atalipwa kwa siku kiasi cha sh 1500/= na kipato kingine ataongeza kwa kupat bwana.
Barmaid yeyote hawezi kumkataa mwanaume na kwa namna hiyo wanaingiza kati ya tshs 10,000/= hadi 100,000/= kwa siku kutegemeana na uzuri wake na kumfanya kuwa na mshahara usiopungua laki 3 kwa mwezi.
Siyo u.ke tena bali ni pubiliki toileti.