Mshahara Umeshatoka?

hiv kumbe mazoea yanaweza jenga tabia... bora sie wa tar 40 wala hazitup shida hzo tarehe
 
Mpaka uhakiki tumalize ndo tunawapa mishahara yenu..kufanya kazi ni wito wajameni
 
Hii haina uhusiano na kupungua kwa mapato ya serikali? I am just thinking aloud
 
Tarehe rasmi ni ipi?

Kama ni tarehe 25 ya kila mwezi mbona bado? Tusichanganye madesa kama tarehe 25 iliangukia Jumapili hivyo watumishi wakalipwa tarehe 23 siku ya Ijumaa!
 
Baada ya kuwatumbua na kuwakelembesha sasa wamehamia kwenye mshahara.....watawakomesha
 
Tarehe rasmi ni ipi?

Kama ni tarehe 25 ya kila mwezi mbona bado? Tusichanganye madesa kama tarehe 25 iliangukia Jumapili hivyo watumishi wakalipwa tarehe 23 siku ya Ijumaa!
Hela zimeisha hazina? Mbona maneno mengi?
 
kwani mkulima yeye analipwa mshahara na naniiii
 
Daah, mshahara wa mwisho wa mwezi ulipwe tarehe 22? Anyway mazoea hujenga tabia. Lakini tusubiri tarehe 30
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…