Baada ya serikali katika miezi iliyopita kujaribu kulipa mishahara tarehe 22/23 ya kila mwezi,sasa inaonekana ilikuwa nguvu ya soda.
Watumishi wa umma wamesikika wakitaka serikali iwalipe kwa tarehe hizo hizo hasa ukichukulia wanavyonyanyasika tangu iingue madàrakani