Mshahara mpya wa walimu, serikalini:

Mshahara mpya wa walimu, serikalini:

Mkuu Mkoroshokigoli.
Ukweli hakuna pesa mtu anaweza pewa akaridhika, ni wakati walimu wakajitambua na kujitafutia njia mbadala za kuingiza kipato chao. Sawasawa na waajiriwa wengine wafanyavyo. Ukijifunga na ualimu 24/7 kulala hakutoisha kwani mshahara wa 480000 per month ukizingatia na hali ya maisha ilivyo hatutoki.

MKUU UMENEA CHAMVIGA nna my best frend tulimaliza nae yeye akapangwa chunya,ananambia baada ya mishe zake anachukua bodaboda yake na kutega kijiweni
 
Last edited by a moderator:
Kumbe mnaosifia ualimu ni wanawake! Nyie mna mtaji wenu mliokalia.
 
Walimu hawana posho ila sekta nyingine na ofisi za wizara wana posho. Kama huamini waulize?! Mara nyingi anayefanya biashara si mwl bora kwan muda mwingi anapaswa kuandaa somo!
 
Walimu hawana posho ila sekta nyingine na ofisi za wizara wana posho. Kama huamini waulize?! Mara nyingi anayefanya biashara si mwl bora kwan muda mwingi anapaswa kuandaa somo!

Kazi yoyote ni kujipanga mkuu, assume mwalimu anafundisha hisabati au physics au chemistry ambayo yote ni facts na mwalimu huyo huyo amedumu kwenye kazi kama 6 years au ameshafundisha intake kibao, unataka kuniambia kwamba kila siku atakuwa anafanya kazi ya kuandaa somo? au kuandaa somo ni issue kwake?unless kama amelazimishwa kwenda kusoma ualimu
 
Kazi yoyote ni kujipanga mkuu, assume mwalimu anafundisha hisabati au physics au chemistry ambayo yote ni facts na mwalimu huyo huyo amedumu kwenye kazi kama 6 years au ameshafundisha intake kibao, unataka kuniambia kwamba kila siku atakuwa anafanya kazi ya kuandaa somo? au kuandaa somo ni issue kwake?unless kama amelazimishwa kwenda kusoma ualimu
Mkuu kwani wanafunzi ni walewale uelewa wao ni ulwule mazingira je nayo ni yaleyale hapana ualimu ni mchakato wa kila siku na mwalimu anatakiwa ajiandae daily hapo unaleta uzoefu uzoefu ndo kuharibu kazi hakuna uzoefu ktk ualimu lazima mwalimu ajifunze kila siku ndo mana mwalimu ni mwanafunzi. Ndo mana tunataka alipwe uoasavyo ili akili yake itulie kuwafunza watoto. Sasa walimu ni wafanya biashara hivyo akili yote ktk pesa ndo maana unaona haa matatizo
 
Mkuu kwani wanafunzi ni walewale uelewa wao ni ulwule mazingira je nayo ni yaleyale hapana ualimu ni mchakato wa kila siku na mwalimu anatakiwa ajiandae daily hapo unaleta uzoefu uzoefu ndo kuharibu kazi hakuna uzoefu ktk ualimu lazima mwalimu ajifunze kila siku ndo mana mwalimu ni mwanafunzi. Ndo mana tunataka alipwe uoasavyo ili akili yake itulie kuwafunza watoto. Sasa walimu ni wafanya biashara hivyo akili yote ktk pesa ndo maana unaona haa matatizo

Point ulizosema ila na wewe hujaniewa kwa baadhi ya sehemu niliposema amedumu kwenye game muda mrefu nilimaanisha hata uwezo wake wa kuji-adjust based on situation unakuwa mkubwa kwa kuwa issue ya uzoefu bado ina matter kwa upande mmoja lakini pia kwa upande mwingine na mwalimu mwenyewe awe na upendo na kazi anayoifanya na hata uandaaji wake wa somo ni tofauti na mtu alieanza leo. Wanafunzi wanaofeli sasa ni mchakato mrefu sana mkuu
 
Nimeckia mishahara itapanda c kama elf stini hv ila watu wa afya ndio wameongezewa sana,na hawajatangza sababu wamefanya kinyume na makubaliano ya walimu so wameona kila mtu atajiónea mwenyewe.
 
Assume,
baba mwalimu (Degree level), mama mwalimu (Diploma level) That means ni familia ya wasomi (kibongo bongo)
mama D1, baada ya kukatwa anabaki na 351,900/=
baba E1 baada ya kutatwa anabaki na 464,580/=
PATO LA MWEZI LA FAMILIA BAADA YA KODI : 816,480/=


Wamepanga,
wana watoto wawili,
wana dada wa nyumbani,
wanawasaidia wazazi,
inabidili wao na familia wale,
walipe kodi ya simu (2000 wote wawili) = 0.24% ya mapato yao,
usafiri,
umeme,
maji,
NA MENGINGE KIBAAAAAAAAAAO


NB:
Kumbuka mwalimu haruhusiwi kufundisha tuition so chanzo kingine cha mapato ni ISHU.
Hivi watoto wakifeli mtawalaumu waalimu?


MAPATO YA TOZO ZA SIMU:
kama tozo ya 1000 ya kwenye simu ingekuwa inatumika kuongeza waalimu mshahara binafsi ningeridhika
Total amount itayokusanywa kwa mwaka ni 26,000,000,000/= (26 bil) according to TRA,
kwa mwezi ni 2,166,666,666/= roughly,
kama kila mwalimu akiongezewa 200,000 kwa mwezi waalimu 10,834 watanufaika.
Sina takwimu kamili ya kujua idadi ya waalimu tuliyonayo kwa sasa.

mawazo yangu tu.

KAMA UTACHUNGUZA F1 =AMEONGEZWA 120,000 chini ya F ie E1 kurudi nyuma ongezeko ni chini 60,000/=

inamaana gani, wale wa F kidogoooooo afadhali, na hata mkikata tamaa wale F watawasaliti tu..

wengi wa A-E wamesoma miaka si mingi sana Hata elimu yenu si nzuuuuuuuri, njue kwamba hata ikitokea neema kwa walimu mumeshagawanywa, wa A-E(MTAJUTA NA KUACHA KAZI. kwa sababu kazini mtabanwa na kahela kadogo, lazima usepe mwalimu kanjanja ) na F-K(WATAAGANA NA MAISHA MAGUMU)

source Economics za mgimwa na kikwete
 
kwani mkuu wewe ni pesa kiasi gani inakutosha kimaisha?? manake mtu kama mimi laki 5 inanitosha kuish kwa anasa kabis ana kila wk end nahudhuria vijiwe vya bia na home kids wanakula bata kila uchwao

Ndugu yangu iliuweze kuhudumia na extended familiy ilio saidia kufika hapo ulipo, unahitaji sio chini ya pato la shilingi milion 2 kwa mwezi.
 
Wanaanzisha ujasiamali mkuu, alafu hela za nje ya mshahara mkuu ukifanya kautafiti kidogo unaweza kukuta wachache wanazifanyia mambo mazuri kwani wengi kama alikuwa anakaa Bunju ataona ni wakati wa kuhamia Kijitonyama na kuchukua nyumba ya laki kadhaa kwa mwezi mwisho wa siku zikikata inakuwa kilio, lakini wale wanaotumia kile kidogo walichonacho kwa kuanzisha shughuli za kiuchumi hufika mbali

kuna ukweli katika hoja yako, lakini kipato kikiongezeka kunakua na unafuu wa maisha. kwa mfano watoto waliofeli sababu kubwa ambayo hawa isemi ni kua walimu wamepoteza moral ya kazi.
 
Jamani naomba mnieleweshe huu mshahara mpya wa 945600 na 1034990 ni kwa ngaz ipi na ni kwa mtu aliyetumikia ajira yake kwa muda gani?
 
Jamani naomba mnieleweshe huu mshahara mpya wa 945600 na 1034990 ni kwa ngaz ipi na ni kwa mtu aliyetumikia ajira yake kwa muda gani?
 
B1: 304,000/=
C1: 432,500/=
D1: 589,000/=
E1: 769,000/=
Walimu ni wito. Unachezea srkali!

Viwango hivyo ni take home au hapo makato ya kodi . mashirika ya pension na mashirika ya afya?
 
Michezo ya kuigiza kuelekea uchaguzi mkuu, Nyumba za walimu, posho za mazingira magumu, usafiri wapi?
 
Back
Top Bottom